KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hammad amekirushia kombora Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kile alichodai kinapoteza mwelekeo kutokana na fujo nyingi zinazotokea wakati wa vikao vya Bunge. Alisema fujo hizo, ni wazi zinaonekana kusababishwa na uroho wa madaraka.
Maalim Seif alitoa kauli hiyo juzi jijini hapa, wakati wa kampeni za kumnadi mgombea nafasi ya udiwani wa Kata ya Eralai, John Bayo.
Alisema wakati CUF, ilipofanikiwa kuongoza Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni chini ya uongozi wa Hammad Rashid Mohamed, kulikuwa na busara za hali ya juu katika uendeshaji wa vikao vyao.
Alisema kutokana na umoja na uaminifu ambao CUF ilikuwa nao, ndiyo ilimteua Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilbroad Slaa kuwa Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
Wakati CUF inaongoza Kambi ya Upinzani Bungeni, tulikuwa na umoja mno, tulishirikiana na vyama vyote vya upinzani na naibu wetu, alikuwa Dk. Slaa.
Ila wao Chadema, walipopata wakaanza kusema wao ni wao, ndugu zangu ndio maana leo hii mnaona Bunge limekuwa la fujo utadhani soko, watu wanamwaga matusi kama cherehani, maadili ya Bunge yameachwa, alisema Hammad.
Alisema CUF ni chama chenye dira na kinachoona mbali, kwa sababu kimeundwa kwa lengo la kutetea maslahi ya wananchi wote na dira yao.
Kwa upande wake, Bayo akiomba kura alijikuta akiangua kilio mbele ya wananchi waliokuwa wakimsikiliza.
Bayo, ni moja ya madiwani waliotimuliwa CHADEMA kwa madai ya kupokea rushwa na kukisaliti chama hicho.
Sijagusa hata senti kwa ajili ya kuwasaliti watu wangu, najua kitendo hicho kinakiuka maadili na kuwasaliti nyinyi mlionichagua.
Kwa hisani ya Mtanzania.
Nashangaa na mimi kuwa Seif halioni hilo.
Dkt. Ulimboka alifanywa nini? Serikali imeshachukua hatua gani? Kisa madaraka....
Mwangosi alifanywa nini? Na bado Kamhanda kapandishwa cheo! Madaraka hayo....
Kibanda sasa miezi mitatu hakuna hata fununu ya uchunguzi! Kisa madaraka......
Propaganda za kitoto mara ugaidi, mara personal attacks kisa madaraka....
Wewe usipotoshe umma sisi tunafuatilia siasa za Tanzania wakati cuf inaamzishwa katibu Mkuu alikuwa shaaban mloo Kisha akaja maalim seif mkutano Mkuu Ndio uliompitisha kwa kura tukijaaliwa kwenu chadema wakati Zito Kabwe anataka uenyekiti walitoka kina mtei moshi kumtaka atoe jina lake harafunajiita chama cha democrasia cuf huziiwi na wazee jaza fomu wanachama Ndio wanaoamua nani mkweli ktk wagombea Kama unatumika hupewi kile ni chama cha ukombozi huwezi kupewa Mtu magumash utuulie Zito alivyotaka aongoze kambi ya upinzani bungeni mboe amekataa hata hilo hamulisemi kwa vile bepari mwenzenu
KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hammad amekirushia kombora Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa kile alichodai kinapoteza mwelekeo kutokana na fujo nyingi zinazotokea wakati wa vikao vya Bunge. Alisema fujo hizo, ni wazi zinaonekana kusababishwa na uroho wa madaraka.
Maalim Seif alitoa kauli hiyo juzi jijini hapa, wakati wa kampeni za kumnadi mgombea nafasi ya udiwani wa Kata ya Eralai, John Bayo.
Alisema wakati CUF, ilipofanikiwa kuongoza Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni chini ya uongozi wa Hammad Rashid Mohamed, kulikuwa na busara za hali ya juu katika uendeshaji wa vikao vyao.
Alisema kutokana na umoja na uaminifu ambao CUF ilikuwa nao, ndiyo ilimteua Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Wilbroad Slaa kuwa Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni.
Wakati CUF inaongoza Kambi ya Upinzani Bungeni, tulikuwa na umoja mno, tulishirikiana na vyama vyote vya upinzani na naibu wetu, alikuwa Dk. Slaa.
Ila wao Chadema, walipopata wakaanza kusema wao ni wao, ndugu zangu ndio maana leo hii mnaona Bunge limekuwa la fujo utadhani soko, watu wanamwaga matusi kama cherehani, maadili ya Bunge yameachwa, alisema Hammad.
Alisema CUF ni chama chenye dira na kinachoona mbali, kwa sababu kimeundwa kwa lengo la kutetea maslahi ya wananchi wote na dira yao.
Kwa upande wake, Bayo akiomba kura alijikuta akiangua kilio mbele ya wananchi waliokuwa wakimsikiliza.
Bayo, ni moja ya madiwani waliotimuliwa CHADEMA kwa madai ya kupokea rushwa na kukisaliti chama hicho.
Sijagusa hata senti kwa ajili ya kuwasaliti watu wangu, najua kitendo hicho kinakiuka maadili na kuwasaliti nyinyi mlionichagua.
Kwa hisani ya Mtanzania.
Shibuda alipotaka kugombea urais kupitia CCM nini kilitokea Sheikh Yahaya alisemaje, acha unafiki pimbi weweCUFtumeshawaunga mkono mara ngapi? tulichotofautiana naCUF nikuigamakubaliano na CCM ya kumuunga mkono Kikwete kwa kuwa ni mwislamu na Lipumba ni mwislamu mwenzake wakaacha utaifa wakatanguliza dini zao sasa ulitaka tuendelee kushirikiana kwa lipi watu wameshajiweka wazi au hata video hujaziona na uliwekewa humu JF kama hujalizika na hizo muombe bi kiroboto maana alishapewa na Lema.Wewe usipotoshe umma sisi tunafuatilia siasa za Tanzania wakati cuf inaamzishwa katibu Mkuu alikuwa shaaban mloo Kisha akaja maalim seif mkutano Mkuu Ndio uliompitisha kwa kura tukijaaliwa kwenu chadema wakati Zito Kabwe anataka uenyekiti walitoka kina mtei moshi kumtaka atoe jina lake harafunajiita chama cha democrasia cuf huziiwi na wazee jaza fomu wanachama Ndio wanaoamua nani mkweli ktk wagombea Kama unatumika hupewi kile ni chama cha ukombozi huwezi kupewa Mtu magumash utuulie Zito alivyotaka aongoze kambi ya upinzani bungeni mboe amekataa hata hilo hamulisemi kwa vile bepari mwenzenu
CUF wanajiitaje wapinzani wakati wanaongoza Serikali ya Zanzibar pamoja na CCM?Ukiwa muelewa ukweli si mchungu.Kuna ukweli ndani yake ukiwa neutral! Ila ukiwa CHADEMA ni ukweli mchungu.
Adui yako ni Mw. JK Nyerere? unataka wamseme Marehemu, hivi usivyo na akili hata ya kupengea kamasi unaweza kufananisha CCM ya Nyerere na uozo wa CCM ya sasa iliyojaa ufisadi ubinafsi wa kupindukia..Nyerere sisemi kuwa hakuwa na mapungufu lakini ukimlinganisha na nani hapa TanzaniaKibaraka ni Mbowe aliekulia ikulu wakati wa Nyerere seif kafukuzwa na mwalim atokee kiongozi jasiri wa chadema atamke hadharani maovu ya mwalim Kama opeshen vijiji watu waliliwa na simba kupora majumba ya watu unga wa yanga tulikula ambacho ni chakula cha farasi marekani Lipumba na seif wanamkosoa mwalim slaa na Mbowe hathubutu kisema nani Kibaraka hapo huu si wakati wa propaganda chama chaukombozi huwahakibadili ovyo viongozi hadi nchi ikikombolewa Kama mandera mnataka. Wakae viongozi si waadirifu muje muwanunue kirahisi cuf hakai Mtu wa kutumika pale mbona hamumsakami mtikila toka dp ianzishwe m.kiti ni yeye na mzirai hamsemi nyie mnaifuata cuf mnaagenda gani mnaacha kuishutumu ccm iliyowatawala zaidi ya miaka 50 kila kukicha cuf vile mala vile mabepari wakubwa
Alisema wakati CUF, ilipofanikiwa kuongoza Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni chini ya uongozi wa Hammad Rashid Mohamed, kulikuwa na busara za hali ya juu katika uendeshaji wa vikao vyao.
Mleta mada ni gamba anamsaidia promotion mliberali wao kafu a.k.a mwanandoa wa gamba!!!
Wewe usipotoshe umma sisi tunafuatilia siasa za Tanzania wakati cuf inaamzishwa katibu Mkuu alikuwa shaaban mloo Kisha akaja maalim seif mkutano Mkuu Ndio uliompitisha kwa kura tukijaaliwa kwenu chadema wakati Zito Kabwe anataka uenyekiti walitoka kina mtei moshi kumtaka atoe jina lake harafunajiita chama cha democrasia cuf huziiwi na wazee jaza fomu wanachama Ndio wanaoamua nani mkweli ktk wagombea Kama unatumika hupewi kile ni chama cha ukombozi huwezi kupewa Mtu magumash utuulie Zito alivyotaka aongoze kambi ya upinzani bungeni mboe amekataa hata hilo hamulisemi kwa vile bepari mwenzenu