Maalim Seif Avunja ukimya

Maalim Seif ana matatizo sana. Yaani anajiona yu mkamilifu na hastahili kukosolewa kwa lolote. Yaani hataki kuamini kuwa watu wamemchoka na wanataka akae pembeni na kuwapisha wengine wajaribu zari, badala yake anahamisha hoja tuamini bado anapendwa na kwamba hakusemwa yeye bali ni watawala. Maalimu aache kupotosha makusudio ya yule mama!
 
Asante kwa taarifa, nimefurahi kusikia feedback ya ziara za nchi mbalimbali, kumbe sababu ndio yeye...!.

Pia nimeipenda ile ya "Maalim Wapishe Wengine" na jinsi Maalim alivyoipindua!.
Huyo mama kawaeleza kitu kizuri sana maana anaonyesha anaijua siri kwanini kuna mtu huwa anashinda lakini hapewi!. Hivyo ili mpewe, " Jamaa yenu "awapishe wengine ".
P
 
Maalim Seif ana matatizo sana. Yaani anajiona yu mkamilifu na hastahili kukosolewa kwa lolote. Yaani hataki kuamini kuwa watu wamemchoka na wanataka akae pembeni na kuwapisha wengine wajaribu zari, badala yake anahamisha hoja tuamini bado anapendwa na kwamba hakusemwa yeye bali ni watawala. Maalimu aache kupotosha makusudio ya yule mama!
Maalim Seif ni kipenzi cha Wazanzibar toka mfumo wa vyama vingi uanze anashinda huko Zanzibar ila anafanyiwa figisu.CCM na system yote kwa ujumla wanalifahamu hilo.Nyerere kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 alikimbilia Zanzibar usiku kwenda kutengua matokeo ambao maalim alikuwa ameshinda!
 
Maalim Seif ni kipenzi cha Wazanzibar toka mfumo wa vyama vingi uanze anashinda huko Zanzibar ila anafanyiwa figisu.CCM na system yote kwa ujumla wanalifahamu hilo.Nyerere kwenye uchaguzi wa mwaka 1995 alikimbilia Zanzibar usiku kwenda kutengua matokeo ambao maalim alikuwa ameshinda!
Ujumbe wa yule mama una maana kubwa sana sio kwa watawala, bali kwa mwenyewe Seif. Ni kielelezo kuwa wazanzibar wamechoka kutawaliwa na ccm na wamekuwa wakimpigia kura Maalim Seif (CUF) ili awaongoze lakini sasa wa.eanza kupambanukiwa kuwa wanaemchagua hayuko serious bali anawapotezea malengo yao ndio maana wanamtaka ake pembeni asiwapotezee muda.

Haina ubishi kwamba wazanzibar hawatanii linapokuja suala la mustakabali wa nchi yao. Ila kwa bahati mbaya sana wanakosa mtu sahihi/serious. Maalim alio enekana ndiye mtu mwafaka lakini ni mtu wa system ambaye anaitetea ccm kwa kushikilia nafasi ya kugombea urais kupitia upinzani isiende kwa mtu serious. Bali inapotokea ishara ya kushinda yuko tayari kuharibu na kususia uchaguzi wa marudio na kuwakataza walioshinda nafasi za uwakilishi wasikate rufaa kutetea haki yao ili wabaki ccm peke yao.

Kumbuka aliingia maridhiano na Rais Amani Karume yaliyopelekea kuanzishwa kwa serikali ya umoja wa kitaifa.

Kwa mwenye akili atagundua kuwa mwafaka uwanzishwaji wa serikali ya umoja wa kitaifa ulilenga kuzuia CCM isiondoke madarakani moja kwa moja kwa vile wananchi wanadhamira ya kuidondosha CCM. Lakini pia kulimuwa na maslahi kwa Maalim Seif mwenyewe kwa kujipatia nafasi ya umakamu wa kwanza wa rais. Kiufupi Maalim hayuko tayari kuingonza Zanzibar akiwa mpinzani bali yuko tayari awe makamu na CCM ndo iongoze.
 
Kinachoniudhi ni kwenda nje kusema sema anayoyajua yeye, je nani ata prove kwamba hasemi uongo kwa manufaa yake mwenyewe?

Usipoteshe Watanzania.
Amani yetu umejaribu kila mara kuivuruga, shindwa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa taarifa, nimefurahi kusikia feedback ya ziara za nchi mbalimbali, kumbe sababu ndio yeye...!.

Pia nimeipenda ile ya "Maalim Wapishe Wengine" na jinsi Maalim alivyoipindua!.
Huyo mama kawaeleza kitu kizuri sana maana anaonyesha anaijua siri kwanini kuna mtu huwa anashinda lakini hapewi!. Hivyo ili mpewe, " Jamaa yenu "awapishe wengine ".
P
Na wewe unaamini maalim akimpisha mwingine halafu wakishinda watapewa?
 
Sefu ni tapeli tu wa kisiasa,mwaka huu anakwenda kula mwereka hataamini macho yake,na ndipo atakapoamuakustaafu kabisa
 
Kinachoniudhi ni kwenda nje kusema sema anayoyajua yeye, je nani ata prove kwamba hasemi uongo kwa manufaa yake mwenyewe?

Usipoteshe Watanzania.
Amani yetu umejaribu kila mara kuivuruga, shindwa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, hakuna AMANI bila HAKI... hizi siasa za CCM za kuwalaghai Watanzania kwa kwa jina la AMANI lakini hawawatendei haki hazina mwisho mwema kwa Tanzania
 
Kabla sijazaliwa mpaka sasa nimekua kijana wa makamo Maalim Seif anagombania tu urais....huyu babu atagombania urais mpaka atakapokufa ndo atakoma.

Kuna wakati napata shaka sana na viongozi wa upinzani miaka yote hawataki kuachia madaraka kwa vyama vyao na hawataki kuachia wengine wagombanie ubunge,urais nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa taarifa, nimefurahi kusikia feedback ya ziara za nchi mbalimbali, kumbe sababu ndio yeye...!.

Pia nimeipenda ile ya "Maalim Wapishe Wengine" na jinsi Maalim alivyoipindua!.
Huyo mama kawaeleza kitu kizuri sana maana anaonyesha anaijua siri kwanini kuna mtu huwa anashinda lakini hapewi!. Hivyo ili mpewe, " Jamaa yenu "awapishe wengine ".
P
Pasco bwana,kwa hiyo waingize mtu ambaye hatashinda?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujumbe wa yule mama ni wa kichochezi. Na mbinu anoitamani uyo Babu anaijua na mazala yake, ni fursa nyeti kwa waasimu wao. Zenj inakadjriwa kuwa jangwa kwa masaa 24 tu.
Nasaha zangu kwao ni kuwa watiifu kuendlea kupambana na mkate sio kinginecho.
 
Mpemba mwenzangu Maalim humdanganyi mtu isipokuwa unajidanganya mwenyewe, haupo tayari kuachia hiyo nafasi ya kugombea urais labda uwe mahututi kitandani au umekufa ndio utaiachia hiyo nafasi. Mpaka mama wa kijijini kakuchoka bado hushtuki tuu mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini aachie wakati bado anakubalika?

Nini hasa hoja ya Maalim lazima aachie nafasi ya kugombea nafasi ya kugombana Uraisi?

Au mnaogopa sera zake?
 
Bora abakie huyo huyo Maalim Seif katika nafasi ya kugombea Uraisi, Maalim ana busara, hataki yaliyotokea Sudan yatokee Zanzibar, na CCM wanalijua hilo

Nina uhakika kama atatokea mgombea mwengine, Mzanzibari halisi mwenye uchungu na Zanzibar, hali haitakuwa ya kawaida ikigundulikana ameibiwa kura zake..
 
Back
Top Bottom