Maalim Seif apunguziwa ulinzi

Maalim Seif apunguziwa ulinzi

Maalim hahitaji huo ulinzi wa kinafki huku mgongoni wanampiga mkuki.
wewe unasema nini unaropoka au ?Seif aligoma hata kung'oka kutoka ofisini kwa kisingizio cha kulinda maslahi ya CUF serikalini. kumbe usanii mtupu. atalindaje maslahi kwa kugomea kugombea?? angalau angegombea akaambulia umakamu wa rais hapo angeendelea kulinda maslahi yao. sasa hivi kapotea na kapotea kweli. CUF kwishney.!
 
Maalim hahitaji huo ulinzi wa kinafki huku mgongoni wanampiga mkuki.
acha wewe kuna mtu asiyehitaji ulinzi ? mbona aling'ang'ania atembee na ving'ora wakati akiwahimiza wenzake wajiuzuru. ni ubinafsi mtupu.kwa kisingizio cha kulinda maslahi ya CUF. kichekesho. ! sasa hivi CUF kwishney. na nawaambia wazanzibari wapige kazi. siasa siasa zinawarudisha nyuma. uongozi uliopo upo makini na unafanya kama jinsi tulivyokuwa tunataka. kimsingi wakiendelea hivi basi wananchi tutapiga maendeleo kuelekea uchumiwa kati. lakini tukiendekeza siasa kwenye uchumi wa kati hatutafika asilani
 
Analindwa wa nin asa na wkt mtu mwenyewe keshajifia?
 
Ulinzi upo kikatiba.. Hakuna mwenye mamlaka ya kupunguza ama kuongeza.
 
Walinzi walikuwa wengi hivyo amepunguziwa. Sababu ya kupunguziwa ni baada ya kukoma uongozi wq makamu wa Kwanza wa Rais. Ni kama Kikwete alipopunguziwa ulinzi baada ya kymkabidhi kijiti Rais Magufuli.
Hapo nimeelewa.
 
Maalim analindwa na wananchi wote wa pemba waliomchagua, si walinzi vibaraka wa serikali chafu ya ccm.
 
Wapumbavu ndo wanaona ulinzi ni muhimu, toweni upumbavu wa lumumba mungu ndo anamlinda mtu, mbona lowasa halindwi na kila siku anang'aaa??? Hakuna haja ya kumlinda mungu yupo. Kama ni ulinzi gadafi angekua hai. Toweni vichwa vibovu vilivyojaa sisimizi
 
Huo ulinzi hauna maana yeyote hata wakimuondolea wote, Maalim analindwa na jeshi la mfalme aliye juu ndio maana hata Kumuua wameshindwa,
 
Ulinzi upo kikatiba.. Hakuna mwenye mamlaka ya kupunguza ama kuongeza.
Mamlaka ya kuongeza au kupunguza yapo pia kikatiba.
mamlaka hayo hayo nadhani yapo utumishi ambayo ipo chini ya rais
 
Back
Top Bottom