Maalim ndani ya studio za VoA muda huu via star tv

Naogopa kusema ukweli kuna mtu interview kama hii angekimbia nisije kupigwa ban au kukabidhiwa kwa Mzee Sirro.
JF hakuna uhuru tena, wacha nikajadiliane kwenye magroup ya wasapu kule tupo huru
Napita tu ujumbe umefika umetisha sna mzee maalim seif anajua anataka nini itachukua muda kumuelewa kwa mtu mwenye uelewa mdogo
 
Back
Top Bottom