mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Nipo kwenye basi la simba mtoto sasa hivi ndo tunaingia tanga, mbele ya kiwanda cha tanga fresh kuna mizani ambayo lazima basi lipite kupima uzito, siti za mbele kuna kama trafic polis 6 hv, chaajabu wao ndo wamehama kutoka siti za mbele na kuja kwa nyuma ili kubalance uzito wa basi..yaani nchi hii ya ajabu kabisa