Maajabu ya Tanzania

Maajabu ya Tanzania

Joshua Haji

Senior Member
Joined
Nov 4, 2011
Posts
108
Reaction score
20
Inachekesha sana...
Tanzania ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani ikiwa na eneo la ardhi (nchi kavu na maji) lenye kilometer za mraba 945,087.
Nigeria yenyewe ni ya 32.Duniani ikiwa na 923,768km sq....

sasa hapa Utagundua kitu,
Nigeria inawezaje kuwa na watu zaidi ya Millioni 300. . . Alafu Tanzania kuna watu Millioni 47 tu...
inamaana sisi hatuna mbegu?

Nigeria imewezaje kuwa na Uchumi mzuri vile kuliko Tz...

Isitoshe Siasa zao sio tulivu tokea uhuru , kama ni Rasili mali hata sisi tunazo tena ni nyingi mno!!!

Tumekosea wapi jamani???
 
Inachekesha sana...
Tanzania ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani ikiwa na eneo la ardhi (nchi kavu na maji) lenye kilometer za mraba 945,087.
Nigeria yenyewe ni ya 32.Duniani ikiwa na 923,768km sq....

sasa hapa Utagundua kitu,
Nigeria inawezaje kuwa na watu zaidi ya Millioni 300. . . Alafu Tanzania kuna watu Millioni 47 tu...
inamaana sisi hatuna mbegu?

Nigeria imewezaje kuwa na Uchumi mzuri vile kuliko Tz...

Isitoshe Siasa zao sio tulivu tokea uhuru , kama ni Rasili mali hata sisi tunazo tena ni nyingi mno!!!

Tumekosea wapi jamani???

You are asking the obvious? It is CCM!!!!!
 
Inachekesha sana...
Tanzania ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani ikiwa na eneo la ardhi (nchi kavu na maji) lenye kilometer za mraba 945,087.
Nigeria yenyewe ni ya 32.Duniani ikiwa na 923,768km sq....

sasa hapa Utagundua kitu,
Nigeria inawezaje kuwa na watu zaidi ya Millioni 300. . . Alafu Tanzania kuna watu Millioni 47 tu...
inamaana sisi hatuna mbegu?

Nigeria imewezaje kuwa na Uchumi mzuri vile kuliko Tz...

Isitoshe Siasa zao sio tulivu tokea uhuru , kama ni Rasili mali hata sisi tunazo tena ni nyingi mno!!!

Tumekosea wapi jamani???

Dhambi kubwa kuliko zote duniani na Mbinguni ni Uoga....Hii ndo dhambi ambayo inatuadhibu.

Pili Tanzania hakuna Amani kuna Utulivu tuu.
 
Tumechagua kuwa kama tulivyo kaka. kama unabisha jifunze Singapore ilivyokua na iliko sasa bila ya madini wala mafuta.. hata eneo lao ni kama mkoa flani apa Tized. Angalia system za wenzetu, angalia thinking za wenzetu walioendelea utaona tumechaguaje...... wajiriwa tunategemea mshahara na mtu akipokea mshahara unaisha muda mfupi tu.. tena pengine kulipia mikopo alionunulia gari kwa mfano.... Utafiti unaonesha Wahindi wakipokea pesa inazunguka mara saba kabla ya matumizi.. sisi tukipata tu hela tunatumia apo apo.. kesho njaa ile ile (huu ni mfano binafsi tu wa Mtanzania)

Mentality/Thinking yetu imetufanya kuwa sisi... tusipobadilika kama Taifa.. tutaendelea kuwa omba omba tu na wakati tunaamka tutakuwa na hadithi ''hapa pamewahi kuwa na madini'' You name it.


Inachekesha sana...
Tanzania ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani ikiwa na eneo la ardhi (nchi kavu na maji) lenye kilometer za mraba 945,087.
Nigeria yenyewe ni ya 32.Duniani ikiwa na 923,768km sq....

sasa hapa Utagundua kitu,
Nigeria inawezaje kuwa na watu zaidi ya Millioni 300. . . Alafu Tanzania kuna watu Millioni 47 tu...
inamaana sisi hatuna mbegu?

Nigeria imewezaje kuwa na Uchumi mzuri vile kuliko Tz...

Isitoshe Siasa zao sio tulivu tokea uhuru , kama ni Rasili mali hata sisi tunazo tena ni nyingi mno!!!

Tumekosea wapi jamani???
 
Huu ni uongo..its obvious they are killing us..Tanzania kuna vita sema watu hamjui...ni vita..sisi ni Taifa kubwa jamani..Nigeria wanauana tokea Uhuru hata sasa lakini wapo Zaidi ya Millioni Mia Tatu.Msiignore hii fact..Africa is the same..Magonjwa hata kule yapo.
 
Tatizo ni vita ya chini kwa chini ya kufilisi nchi inayofanywa na intarahamwe.
 
Inachekesha sana...
Tanzania ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani ikiwa na eneo la ardhi (nchi kavu na maji) lenye kilometer za mraba 945,087.
Nigeria yenyewe ni ya 32.Duniani ikiwa na 923,768km sq....

sasa hapa Utagundua kitu,
Nigeria inawezaje kuwa na watu zaidi ya Millioni 300. . . Alafu Tanzania kuna watu Millioni 47 tu...
inamaana sisi hatuna mbegu?

Nigeria imewezaje kuwa na Uchumi mzuri vile kuliko Tz...

Isitoshe Siasa zao sio tulivu tokea uhuru , kama ni Rasili mali hata sisi tunazo tena ni nyingi mno!!!

Tumekosea wapi jamani
???


Nyerere, ndiye aliyekosea, uchumi alikuwa nao lakini aliukalia, alishindwa kabisa kabisa katika mambo ya uchumi kwa miaka yote aliyoongoza hii nchi, zaidi ya 24. Aliiwacha nchi ni maskini wa mwisho duniani.

Alipong'atuka life expectancy ya Mtanzania ilikuwa hata miaka 40 haifiki. Jinsi alivyoshindwa katika huduma za afya.
 
Tumechagua kuwa kama tulivyo kaka. kama unabisha jifunze Singapore ilivyokua na iliko sasa bila ya madini wala mafuta.. hata eneo lao ni kama mkoa flani apa Tized. Angalia system za wenzetu, angalia thinking za wenzetu walioendelea utaona tumechaguaje...... wajiriwa tunategemea mshahara na mtu akipokea mshahara unaisha muda mfupi tu.. tena pengine kulipia mikopo alionunulia gari kwa mfano.... Utafiti unaonesha Wahindi wakipokea pesa inazunguka mara saba kabla ya matumizi.. sisi tukipata tu hela tunatumia apo apo.. kesho njaa ile ile (huu ni mfano binafsi tu wa Mtanzania)

Mentality/Thinking yetu imetufanya kuwa sisi... tusipobadilika kama Taifa.. tutaendelea kuwa omba omba tu na wakati tunaamka tutakuwa na hadithi ''hapa pamewahi kuwa na madini'' You name it.

inawezekana ikawa kweli....!
 
Inachekesha sana...
Tanzania ni nchi ya 31 kwa ukubwa Duniani ikiwa na eneo la ardhi (nchi kavu na maji) lenye kilometer za mraba 945,087.
Nigeria yenyewe ni ya 32.Duniani ikiwa na 923,768km sq....

sasa hapa Utagundua kitu,
Nigeria inawezaje kuwa na watu zaidi ya Millioni 300. . . Alafu Tanzania kuna watu Millioni 47 tu...
inamaana sisi hatuna mbegu?

Nigeria imewezaje kuwa na Uchumi mzuri vile kuliko Tz...

Isitoshe Siasa zao sio tulivu tokea uhuru , kama ni Rasili mali hata sisi tunazo tena ni nyingi mno!!!

Tumekosea wapi jamani???

Point of correction...! Nigeria ina population ya watu kama 168m na sio 300m
 
Halafu wanasema tutumie nyota ya kijani eti tunazidi. Ukiangalia kwa undani, tulikosea tangu tulipopata uhuru kwa kuruhusu siasa za ujamaa kuua uchumi wa watu (fanya kazi sana upate kipato) na kuzalisha na kuzalisha kundi la wasanii na wapiga dili serikalini!
 
Nyerere, ndiye aliyekosea, uchumi alikuwa nao lakini aliukalia, alishindwa kabisa kabisa katika mambo ya uchumi kwa miaka yote aliyoongoza hii nchi, zaidi ya 24. Aliiwacha nchi ni maskini wa mwisho duniani.

Alipong'atuka life expectancy ya Mtanzania ilikuwa hata miaka 40 haifiki. Jinsi alivyoshindwa katika huduma za afya.

Inawezekana kuwa Nyerere ni sehemu ya matatizo au changamoto tulizo nazo leo, lakini haiingii akilini kuendelea kumlaumu marehemu huku tulio hai hatufanyi matumizi sahihi ya busara, akili na raslimali. Kama huu ndio mtazamo wa wengi basi Watanzania tutalilia hadi mzimu wa Nyerere uje utupatie majibu?
 
Nyerere, ndiye aliyekosea, uchumi alikuwa nao lakini aliukalia, alishindwa kabisa kabisa katika mambo ya uchumi kwa miaka yote aliyoongoza hii nchi, zaidi ya 24. Aliiwacha nchi ni maskini wa mwisho duniani.

Alipong'atuka life expectancy ya Mtanzania ilikuwa hata miaka 40 haifiki. Jinsi alivyoshindwa katika huduma za afya.

Mara nyingi watu humu huwa wanakunanga lkn mm huwa nakusikiliza kwa makini sana... hoja yako ina mashiko
 
Ni jambo jema waTZ kujiuliza tunakosea wapi. Ni lazima tuwe na mtazamo mpya kuanzia ngazi ya kaya. Nadhani hata elimu tupatayo ina walakini. Hebu fikiria kwanini wanao hitimu SUA wote wafikirie kuajiriwa, na kwanini serikali isiwe na package kwa baadhi ya wahitimu kuwezeshwa kuwekeza huko Rufiji nk Hebu fikiria kwanini maprofesa na madaktari wanakimbilia siasa na wanasiasa wanapenda kuitwa doctor.. Uanzishwe mjadala wa kitaifa wa kujihoji maana kila mtu anasema huenda tumerogwa. Nchi inaendekeza vitu kama urembo wa ma miss hao ndio role models wetu. Kwanini isiwe tuzo kwa wabunifu na wachangia mabadiliko katika ngazi ya kijiji hadi taifa? Hatuwezi kwenda mbali kwa uchuuzi, kunakili, visingizio na ujanjaujanja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom