Maajabu ya serikali ya tanzania.

Maajabu ya serikali ya tanzania.

Wikiliki

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
528
Reaction score
141
Wana Jf wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania uliopita vyuo vikuu vilichelewa kufunguliwa kisa fedha ya kuwalipa wanafunzi hakuna eti hivyo wakasogeza mbele ili wapate fedha cha kushangaza hata baada ya kusogeza mbele muda na kuwanyima wanafunzi haki yao ya kupiga kura hadi leo hii migomo ya wanafunzi kila kona kisa hakuna fedha.

Je kulikuwa na ulazima wa kusogeza muda wa kufungua vyuo.
 
Wana Jf wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania uliopita vyuo vikuu vilichelewa kufunguliwa kisa fedha ya kuwalipa wanafunzi hakuna eti hivyo wakasogeza mbele ili wapate fedha cha kushangaza hata baada ya kusogeza mbele muda na kuwanyima wanafunzi haki yao ya kupiga kura hadi leo hii migomo ya wanafunzi kila kona kisa hakuna fedha. Je kulikuwa na ulazima wa kusogeza muda wa kufungua vyuo.
mkuu, hii migomo ingetokea kipindi cha uchaguzi nini kingetokea..CCM waliliona hilo ndiyo maana walikataa
 
Wana Jf wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania uliopita vyuo vikuu vilichelewa kufunguliwa kisa fedha ya kuwalipa wanafunzi hakuna eti hivyo wakasogeza mbele ili wapate fedha cha kushangaza hata baada ya kusogeza mbele muda na kuwanyima wanafunzi haki yao ya kupiga kura hadi leo hii migomo ya wanafunzi kila kona kisa hakuna fedha. Je kulikuwa na ulazima wa kusogeza muda wa kufungua vyuo.

Kama pesa ya kuwalipa wanafunzi imekosekana, sasa zile ahadi zetu sijui zilifika ngapi vile, nadhani 100 + zitatekelezeka?

Mie binafsi nilikuwa na matarajio makubwa sana na ahadi mbili tu;
1. Ujenzi wa barabara ya musoma - arusha ili niwe napanda basi la zakaria express pale ubungo ninapokwenda nyumbani.

2. Ununuzi wa meli ziwa victoria ili niweze kusafiri kwa uhakika ninapokwenda kuwasalimia wajukuu zangu kule Kamachumu!!

Sasa kwa hali kama hii na kuna tetesi kwamba mishahara ya mwezi ujao kwa watumishi wa serikali iko hatihati sijui itakuwaje.
 
Wana Jf wakati wa uchaguzi mkuu wa Tanzania uliopita vyuo vikuu vilichelewa kufunguliwa kisa fedha ya kuwalipa wanafunzi hakuna eti hivyo wakasogeza mbele ili wapate fedha cha kushangaza hata baada ya kusogeza mbele muda na kuwanyima wanafunzi haki yao ya kupiga kura hadi leo hii migomo ya wanafunzi kila kona kisa hakuna fedha. Je kulikuwa na ulazima wa kusogeza muda wa kufungua vyuo.

Kipato cha Siri kali kimeshuka kaka, tangu CHADEMA wanyakue majimbo na halmashauri kadhaa nchi nzima kipato kinahama. Ona sasa posho tu za Makatibu wa SISIEMU zinawapiga chenga, Makamba-le anaulizwa KULIKONI anaanza kumwaga matusi ya kambale.

Sasa wanataka kufidia kwa kupandisha bei za huduma za jamii kama maji, umeme, vyakula, nauli n.k. ili kodi iwe kubwa
 
Kipato cha Siri kali kimeshuka kaka, tangu CHADEMA wanyakue majimbo na halmashauri kadhaa nchi nzima kipato kinahama. Ona sasa posho tu za Makatibu wa SISIEMU zinawapiga chenga, Makamba-le anaulizwa KULIKONI anaanza kumwaga matusi ya kambale. Sasa wanataka kufidia kwa kupandisha bei za huduma za jamii kama maji, umeme, vyakula, nauli n.k. ili kodi iwe kubwa

Tuondoe huu mzigo wa misumari ya moto mgongoni.

CCM tukailaze mahala pabaya jehanam kwa haraka sana kabla hatujatumbukia sote kwa pamoja shimoni.
 
Tuondoe huu mzigo wa misumari ya moto mgongoni.

CCM tukailaze mahala pabaya jehanam kwa haraka sana kabla hatujatumbukia sote kwa pamoja shimoni.

Mkuu huo mzigo wa misumari mgongoni mwetu umegandishwa kwa Super Glue ya Kijerumani miaka 50 sasa. Na mbaya zaidi kuna washikaji (vyombo vya dola) vinaulinda huo mzigo usishuke.

Sasa option iliyobaki ni kukata sehemu ya mgongo ili itoke na mzigo (kumwaga damu) ndo pengine tunaweza kuwa huru. Sio mapenzi yetu kukata nyama ya mgongo lakin sioni option mbadala
 
Back
Top Bottom