Binadamu tumezaliwa tofauti. Kuna wanaoweza kufanya mambo fulani na wasioweza
Kuna watu kitu konachoitwa kifo kwao si jambo gumu ilimradi ametimiza azma yake
Mimi , wewe, au yule hatuwezi kufanya anachofanya polepole au Lissu. Lakini wao wanafanya na wanajua matokeo yake. Kuna watu wapo tayari kufa muda wowote, ndio maana huwa mnashangaa wale wanaovaa mabomu na kujilipua
Kuna watu hawawezi kwenda jeshini kwa kuhofia kufia kwenye mafunzo au wakati wa Vita, lakini wapo maelfu hilo wala hawajali.
Iwe polepole angebaki huko, au asingebaki, iwe angekaa kimya au angeongea kifo huwa kipo tu.