Hujaelewa wewe uckurupuke! meaning ya chet cha ndoa, ni pongezi ya kujisitiri na kuvumiliana mpaka kuushinda mtihan bila kuvuliana chup zenu, na ndio maana kuna amri usizin ila watu ni vichwa maji, pia mkishapata chet ndio mnaenda kutenda na kutekeleza maagizo ya ndoa, sasa, vivo hvo kwenye masomo unasoma unafaulu nakupata chet then unaenda kukitendea haki yake kwa kutekeleza.