Hahahahahaha hongeraa
Ha ha ha... Dah haya bana, vipi kule jamaa alirudi?Mkuu hebu wacha wivu jamani.
Wenzako wanalalama wee ndo unajifanya ngunguri? 😀😀😀Ahsante... karibu tena...
Usililie papuchi yake11 Anakula na pesa yangu
Tena bila shurutiHela lazima iliwe, tena unatoa kwa hiari
Wenzako wanalalama wee ndo unajifanya ngunguri? 😀😀😀
Ila umejibu kwa adabu..... hadi napata walakini mmmhhhh.....
Nacheka kwa dharau.....
Kumbuka ukiongea habari za mwanamke ni pamoja na mama yako dd zako shangazi zako na wengine.ina maana nao ni wachawi?Halafu Wachawiii !!!
Nyie viumbe mimi hamniumizi kichwa.... nimejibu kwa adabu au nakuonea huruma...
Wanaweza wakawa wachawi kwani si wanawake kama wewe?Kumbuka ukiongea habari za mwanamke ni pamoja na mama yako dd zako shangazi zako na wengine.ina maana nao ni wachawi?
Hhahahahahahahhaaaaa nilikuwa nimesahau kumbe wewe ni baba Huruma, hehehehee mzima lakini?
Na wewe ni mama haruma unajisahahulisha...
Mie ni bibi utanikamatia kwa mbaaali saanaaa
Halafu ona sasa unavochapia hapo kwenye red..... poyeee....
Usitake tufananeeeeeee........... he he hee
Wewe ni nani? Unaajita bibi? Hahahaha nacheka kwa dharau sana... Haya kwa watakaoamini wewe ni bibi...
We atoto hebu ukuje hapaNguvu ya mwanamke sio mchezo, women have enormous power with men, and we can use it for good or for evil. Consider this Examples from the scripture . Take the power of Delilah with Samson, Samson could take on an army of warriors but he surrendered to the charm of one women.
Take King David and Bathsheba, Consider Solomon who ruled over the golden years of Israel but was captivated by the power of women. Cheza na mwanamke mbali sana, ishi nae kwa akili Kubwa.
Mie ni Kasende J. J. Mwanakatoto aka Ajuza aka Kasie aka kigagulaaa.....
Sijiiti that's me..... that's her.... that's Kasie... me, myself and I.....
Usitake tufananeeeee....... hee hee hee heee
Kwahiyo una jopo la unaotaka wakuamini huku wewe hutaki waamini uhalisia....
Kasie...