Msukuma wa dar
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 1,160
- 1,201
Ni kiumbe dhaifu km tulivyokalilishawa, ila kiuharithia Mwanamke sio kiumbe dhaifu,Ni kiumbe hatari Sana,hakuna aliyewai kumuelewa kiumbe huyu,hata wao kwa wao hawaelewanagi..
Hana sauti ya simba,hana nguvu za kupigana,ila anauwezo wa kumuadhibu yeyote,au kwa kumtumia mwanaume,au yeye km yeye kukunyoosha na ukanyooka..
Penye wanaume 10,Ni wanaume wawili pekee ndio wanauwezo wa kupingana na akisemacho mwanamke,na Kati ya hao wawili Ni mmoja pekee ndio anauwezo wa kupingana ana kwa ana na kiumbe huyuu, uyu mwinge atakataa kwa meseji..
We jiulize kwanini Mama Clinton alishinda kura za wote,ila akashindwa kwenye kura za wajumbe..
Habari wana MMU..
Hana sauti ya simba,hana nguvu za kupigana,ila anauwezo wa kumuadhibu yeyote,au kwa kumtumia mwanaume,au yeye km yeye kukunyoosha na ukanyooka..
Penye wanaume 10,Ni wanaume wawili pekee ndio wanauwezo wa kupingana na akisemacho mwanamke,na Kati ya hao wawili Ni mmoja pekee ndio anauwezo wa kupingana ana kwa ana na kiumbe huyuu, uyu mwinge atakataa kwa meseji..
We jiulize kwanini Mama Clinton alishinda kura za wote,ila akashindwa kwenye kura za wajumbe..
Habari wana MMU..
