Maajabu ya Mwanamke

Maajabu ya Mwanamke

Msukuma wa dar

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
1,160
Reaction score
1,201
Ni kiumbe dhaifu km tulivyokalilishawa, ila kiuharithia Mwanamke sio kiumbe dhaifu,Ni kiumbe hatari Sana,hakuna aliyewai kumuelewa kiumbe huyu,hata wao kwa wao hawaelewanagi..

Hana sauti ya simba,hana nguvu za kupigana,ila anauwezo wa kumuadhibu yeyote,au kwa kumtumia mwanaume,au yeye km yeye kukunyoosha na ukanyooka..

Penye wanaume 10,Ni wanaume wawili pekee ndio wanauwezo wa kupingana na akisemacho mwanamke,na Kati ya hao wawili Ni mmoja pekee ndio anauwezo wa kupingana ana kwa ana na kiumbe huyuu, uyu mwinge atakataa kwa meseji..
We jiulize kwanini Mama Clinton alishinda kura za wote,ila akashindwa kwenye kura za wajumbe..

Habari wana MMU..
 
The truth is to not get afraid of them. After all ni binadam kama sis... so stand your ground as a man.. usowatukuze kihivyo
 
Ewe mwanaumme kuwa makini na huyo kiumbe mwanamke...

1:Alimuua Samson

2:Alimuua Uria

3:Alimwangusha Daudi

4:Alimuua Amnon

5:Alimuua Absalom

6:Alimuua Naboth

7:Alimuua John the baptist

8:Alimdanganya Yacob (Israel)

9:Alikula tunda (Eden)

10:Alitufanya hadi leo tule kwa JASHO..

Ref :- HOLY BIBLE
 
Ewe mwanaumme kuwa makini na huyo kiumbe mwanamke...

1:Alimuua Samson

2:Alimuua Uria

3:Alimwangusha Daudi

4:Alimuua Amnon

5:Alimuua Absalom

6:Alimuua Naboth

7:Alimuua John the baptist

8:Alimdanganya Yacob (Israel)

9:Alikula tunda (Eden)

10:Alitufanya hadi leo tule kwa JASHO..

Ref_ :BIBLE
11 Anakula na pesa yangu
 
Back
Top Bottom