Maajabu ya mti wa ubuyu

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,319
33,125
MAAJABU YA MTI WA UBUYU
Baa ndani ya Mti wa Ubuyu.
Upo kwenye bustani ya Limpopo, nchini South Africa
Una upana wa Mita 47.2 (karibu sawa na nusu ya uwanja wa mpira wa miguu).
Unaweza kuingiza watu wazima 40 kwa wakati mmoja
Unakadiriwa kua na umri wa miaka 6,000.

Baa ndani ya Mti wa Ubuyu.jpg
Baa ndani ya Mti wa Ubuyu 2.jpg
Baa ndani ya Mti wa Ubuyu 3.jpg
 
Jiti kubwaa lakini hasara tupu hata kibao cha kukalia hutoi.lingekuwa linatoa mbao dahh
 
Back
Top Bottom