Hahahaha wewe punguza mapenzi kwa Magu.Kwahiyo kuwa na barabara nzuri lakini wananchi hawana magari inaaminisha nini?kuwe na Airport nzuri lakini wenyeji hawapandi hizo ndege?kuwe na office nzuri za TRA lakini kodi inayokusanywa ni kituko?Kwa uongozi mzuri wa Magufuli, na kama amekuwa mbunge wa Chato kwa miaka mingi lazima patakuwa hivo tu. Viva JPM. Wewe ni mfano wa kuogwa
Bongo pikipiki marufuku katikati ya jiji, lakini huku hata mkokoteni wa punda ni ruksa katikati ya jiji!Hadi punda wanavuka mataa
Wee chato umewahi fika?Duh, hii photoshop au!
Mi huwa nadhani ni fiksi tu. Basi hatari.
Very good, hujakosea najua wanaojadili Chato kimizaha wengi wao ni chagademaWatu wanaizungumzia Chato kwa kejeli lakini tuizungumzie Chato kwa hoja na uhalisia wake. JPM ni Rais wa Tanzania na anatoka Chato kwa hiyo utake usitake mazingira ya Chato lazima yakarabatiwe na yarekebishwe kumuwezesha Rais kufanya kazi zake kwa ufanisi. Tukumbuke Rais haendi "likizo" kama likizo na hili linafanyika ulimwengu mzima. Mar-a-largo kule USA imefanyiwa hivyo. Pili kuhusu Airport nalo nafikiri ni la msingi ule ule tu. JPM atakauwepo miaka 5 ijayo na inawezekana hata 10. Kuutoa msafara wa Rais hadi Mwanza halafu uingize kwenye ferry halafu uende Chato nafikiri ni gharama kubwa sana vinginevyo uwe na "standby logistics kanda ya ziwa kitu ambacho nafikiri gharama zitakuwa kubwa sana sana. Kwa maoni yangu Airport ni shuluhisho muafaka. Assume JPM atastaafu 2025 bado eneo hilo litahitaji Airport kwa kuwa ukitua hapo utaweza kwenda migodini, Biharamuro, Muleba hadi Bukuba. Tatu turidhike tu kwamba zile nyakati za kujenga Airport Arusha na Moshi, barabara za lami kaskazini, umeme kaskazini zimefikia ukomo wa milele! Ni mawazo yangu tu lakini!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dk Kaleman yule naibu wa Nishati na madini sijui tu kwa nini Boss wake alifukuzwa yeye akabaki
Mkuu mm nahs hujafka chato japo kunamambo umezungumz n sahh na mengne umetia chumvi dah chato n kakijij
Sent using Jamii Forums mobile app
ahahahhaaaha nimecheka sana sana ni kweli nilifika Chato nikitokea Bukoba kuelekea Mwanza. Nilipita pale Chato saa kumi jioni, kwenye zile taa ilikua gari yetu, Baskeli upande wa pili na sijui ng'ombe au Punda wale. Dah nilishangaa sana sana sana.Duh, hii photoshop au!
Mi huwa nadhani ni fiksi tu. Basi hatari.