Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,104
- 165,319
Hadi punda wanavuka mataa
Moshi hakuna mataahhahahaha hii habari kweli watu wa moro hawawez kukuelewa!hakuna mataa jaman! full ajali ..mfano hii irnga road,! hehehe kwahyo barabara ni mkeka mkuu!duh kweli wana ifakara na kule 'maliny'i na 'mbingu',kisaki' ngumu kukuelewa !acha wapambane na hali zao! na kweli majitu ya pande hizo wagumu sana kujenga! nimeishi sana Iringa.. nenda iringa vijijini unahesau nyumba za tembe! nenda shy,tabora,mwanza hehehehe full tembe!
kijana wa miaka 21 Iringa amejenga nyumba ya vyumba 3 na bati juu na solar juu! lakini kijana huyo hyo wa 21age wa Mwanza ana wake 2 na watoto 7! na bado anaishi home kwa wazaz!
ukiuliza unaambiwa ni MILA!(linachunga tu ngombe)
SALUTE WAHEHE!
Kila kiongozi angekuwa anafanya hivyo home kwake nadhan tz ingekuwa kama Kwa Trump vile
Viongozi hawajazaliwa mijini,wamezaliwa vijijini,lakn,ukienda hata barabara ya kuingilia kijijin kwake hakuna
Hongera mjomba
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha ukabila dogohhahahaha hii habari kweli watu wa moro hawawez kukuelewa!hakuna mataa jaman! full ajali ..mfano hii irnga road,! hehehe kwahyo barabara ni mkeka mkuu!duh kweli wana ifakara na kule 'maliny'i na 'mbingu',kisaki' ngumu kukuelewa !acha wapambane na hali zao! na kweli majitu ya pande hizo wagumu sana kujenga! nimeishi sana Iringa.. nenda iringa vijijini unahesau nyumba za tembe! nenda shy,tabora,mwanza hehehehe full tembe!
kijana wa miaka 21 Iringa amejenga nyumba ya vyumba 3 na bati juu na solar juu! lakini kijana huyo hyo wa 21age wa Mwanza ana wake 2 na watoto 7! na bado anaishi home kwa wazaz!
ukiuliza unaambiwa ni MILA!(linachunga tu ngombe)
SALUTE WAHEHE!
Chato ni mji pekee duniani ambao punda wamewekewa traffic light pia mbuzi wana uwanja wa kuchezea umewekwa lami
Vile vile mji huu ni maarufu kwa kilimo cha samaki
duh jiji la chatoNaskia hivi karibuni litatawazwa rasmi kuwa jiji, mkuu wetu ni mfano wa kupigwa kabisa.
Kila Rais akijenga kwao kama hivi baada ya miaka 100 kila mkoa utakuwa umejengeka. Imagine Nyerere angejenga Butiama, Mwinyi angejenga kwao,Mkapa angeendeleza Mtwara,JK angeendeleza Chalinze tungekuwa na miji 5 mizuri plus iliojijenga yenyewe.
Msimu ulopita ilikua ni msoga...na bagamoyo...sasa hivi ni Chato...sijui baada ya hapo itakuwa wapi....?
Sent using Jamii Forums mobile app