666 chata
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 1,710
- 4,026
- Thread starter
- #121
Hahahaha wewe punguza mapenzi kwa Magu.Kwahiyo kuwa na barabara nzuri lakini wananchi hawana magari inaaminisha nini?kuwe na Airport nzuri lakini wenyeji hawapandi hizo ndege?kuwe na office nzuri za TRA lakini kodi inayokusanywa ni kituko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umenichekesha sana, ila jua tu hii chato inaandaliwa kwa ajili ya watoto wetu wa 2050