Maajabu ya mchungaji Naijeria

Maajabu ya mchungaji Naijeria

Pasta wa Kanisa la Covenant huko nchini Nigeria awaamurisha waumini wake wote wakati wa maombi ya usiku wavue nguo zao ili awaombee ndipo roho mtakatifu atawaingie kirahisi.

Baada ya waumini hao kutii agizo la kuvua nguo ndipoView attachment 860314
.. . . . . kheee mi nikajua anamnogesha Nandy kwa miguu 🙄
 
Kuwakanyaga vipi mkuu mana kila mwanaume ana miguu mitatu unamaanisha mguu wa kati au?
 
Kitu kinachomtofautisha mwanadamu na wanyama wa mwituni ni matumizi sahihi ya fahamu zake....na kitu kinachomuweka karibu mwanadamu na wanyama mwituni ni kuacha kutumia fahamu zake!!!!....
 
Hoax na picha za kuunga unga!!!. Kwenye picha ya tatu hata proportion imewashinda. Ukimkalia mtu aliyelala chini huwezi kukaa posture ya namna hiyo. Nadhani ni makahaba walikamatwa na kukusanywa mahali usiku. Hata mwanga unavyomulika inaonekana unawalenga wao tu kwa dhumuni la kupata picha. Na picha ya pili kuna mmoja kafunika uso. Ila kwa kweli watengeneza hii hoax wamejitahidi kuunga unga.
Nlikuwa nawaza hvyo, kuna proportions haziendi sawa... Hata picha ya mwisho jamaa kamkanyaga mdada paja... Lakini hakuna ile mvuto wa ngozi kwamba kuna kitu kizito kimewekwa, plus naturally, huyo mdada miguu angeinyosha kuepusha kuvunja mifupa, instinctively,,, haya mambo wachoraji, wapiga picha, na watumiaji wa adobe tunayajua fasta sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom