Kwani jinsia si wanatumia moja ila vichwa ni vi2dah jamani ninawaza sana juu ya uumbaji wa Mungu, niliwahi kusoma sehemu wakisema wangependa kuolewa na mwanaume mmoja tuu mwenye upendo wa kweli mmh nikaona aisee itakuwa tabu sana itakuwaje hasa wakihitaji kuzaa je itakuwaje?
Sasa nawaza wakati wakiolewa halafu muda wa kujenga ndoa inamaana wote wanakukodolea macho mwanaume sasa si ndio jamanKwani jinsia si wanatumia moja ila vichwa ni vi2
labda wana sehemu ya siri mojaNauliza tu jamani
Hapo kwenye ndoa mume mmoja atakuwa anagegeda wote wawili kwa wakati mmoja? Au watapeana shift?....... huwa najiulizaga sana
Mungu anisamehe kwa kuwawazia kuhusu kufanya matusi[emoji85] [emoji85]
duh ni huruma mengine tumwachie Mungu tuHuyo mwingine atakufa kwa sababu ya loneliness na mawazo ya mwenziwe au mmoja akifa mwingine hawezi kuishi hata kumtenganisha itakuwa ngumu
Maan kuna wale walikuwaga wameungana halafu wakubwa nchini kama Sio Sri Lanka basi ni Indonesia waliweza kuishi kwa muda wa miaka 28 wakawa walikufa theatre room Operation kubwa kuwahi kutokea duniani n madaktari bingwa walikua wanajaribu kuwatenganisha.
Wafanyiwa operation kwa mmoja kuondoka na mmoja kubaki.Allah Akbar.
Mimi huwa najiuliza tu, akifa mmoja itakuwaje?
Mwenzie pia atakufa au itakuwaje?
Naamini watoto walioungana kama hawa wanazaliwa wengi sana, ila kwa imani potofu zilizotujaa wengi huuwawa wakiwa angali wachanga.
Acha tu Mungu aitwe Mungu.duh ni huruma mengine tumwachie Mungu tu
aminaAcha tu Mungu aitwe Mungu.
Notedamina
Amen Amen..Hakika ametenda muujizaMungu atukuzwe kwa yote