Machuchu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2017
- 1,260
- 965
Kwani jinsia si wanatumia moja ila vichwa ni vi2dah jamani ninawaza sana juu ya uumbaji wa Mungu, niliwahi kusoma sehemu wakisema wangependa kuolewa na mwanaume mmoja tuu mwenye upendo wa kweli mmh nikaona aisee itakuwa tabu sana itakuwaje hasa wakihitaji kuzaa je itakuwaje?