Maajabu ya maajabu

Maajabu ya maajabu

Nikilewa mniache

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2015
Posts
19,296
Reaction score
51,921
BOSS anamwambia sekretari wake:
Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.

SEKRETARI (anamuaga mumewe):
Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.

MUME (anampigia mchepuko):
Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week

(Mchepuko) anamwambia mwanafunzi wake wa tution:
wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.

MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS):
Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako.....

BOSS anamwambia sekretari wake:
Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.

SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena

MUME (anampigia Mchepuko):
dah! mpenzi, huyu fala haendi tena. Shit! So hadi next time plz

Mchepuko a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi):
Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.

MWANAFUNZI: darling tution
inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!

BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya serena iko palepale......


HOW to HELP THESE PEOPLE?


Fools chain
 
BOSS anamwambia sekretari wake:
Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.

SEKRETARI (anamuaga mumewe):
Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.

MUME (anampigia mchepuko):
Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week

(Mchepuko) anamwambia mwanafunzi wake wa tution:
wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.

MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS):
Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako.....

BOSS anamwambia sekretari wake:
Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.

SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena

MUME (anampigia Mchepuko):
dah! mpenzi, huyu fala haendi tena. Shit! So hadi next time plz

Mchepuko a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi):
Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.

MWANAFUNZI: darling tution
inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!

BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya serena iko palepale......


HOW to HELP THESE PEOPLE?


Fools chain
Mkuu hiyo chain noma,shemeji hawez kuchomoa !
 
BOSS anamwambia sekretari wake:
Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.

SEKRETARI (anamuaga mumewe):
Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.

MUME (anampigia mchepuko):
Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week

(Mchepuko) anamwambia mwanafunzi wake wa tution:
wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.

MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS):
Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako.....

BOSS anamwambia sekretari wake:
Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.

SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena

MUME (anampigia Mchepuko):
dah! mpenzi, huyu fala haendi tena. Shit! So hadi next time plz

Mchepuko a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi):
Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.

MWANAFUNZI: darling tution
inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!

BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya serena iko palepale......


HOW to HELP THESE PEOPLE?


Fools chain
Watubu tu
 
Back
Top Bottom