Maajabu ya kalenda ya mwaka huu 2014!

Maajabu ya kalenda ya mwaka huu 2014!

hiyo miaka mingine iliyopita huwa friday haina tarehe?? maajabu yake ni yepi
 
Waswahii nao kwa kukuza mambo! Sasa hapo cha ajabu ni kipi?
 
...kama umekosa kalenda ya mwaka huu usipate tabu chukua kalenda ya mwaka 1997, kwa kiasi kikubwa zinarandana.... Think twice.
Hiyo ya 1997 inapatikana wapi mkuu? Nataka walau niwe nayo hiyo, naona za mwaka huu zimeisha kabisa
 
Ninanusa kaharufu kaudini hapa!
Any way tuachane na hayo,MAISHA menyewe magumu,kila kukicha ni ahueni ya juzi,sina haja ya kalenda na sitaki kujua kesho ni tarehe au siku gani!
 
Ninanusa kaharufu kaudini hapa!
Any way tuachane na hayo,MAISHA menyewe magumu,kila kukicha ni ahueni ya juzi,sina haja ya kalenda na sitaki kujua kesho ni tarehe au siku gani!

mkuu MAISHA menyewe? mbona hamna kolokosheni hapo?
...ni pm nikupe ziada ya upatanisho wa kisarufi.
 
TAREHE 4, 4, 2014... Friday, tarahe 6, 6, 2014 Ijumaa, taraehe 8,8 2014, ijumaaa, tarehe 10,10, 2014 ijumaaa, tarehe 12,12,2014 ijumaaa... ulishalifikiria hilo mkuu.

MOMMAdou umekuwa Mtoto wa ngapi kwenye report yako ya annual??
 
Last edited by a moderator:
april 4 ni friday
june 6 ni friday
august 8 ni friday
october 10 ni friday
december 12 ni friday

kama umekosa kalenda ya mwaka huu usipate tabu chukua kalenda ya mwaka 1997, kwa kiasi kikubwa zinarandana.... Think twice.


You observe items mathematically! Congrats... keep up your talent!
 
Afadhali hata wewe umeelimisha watu tumeelewa, angekuwa FaizaFoxy hapa angeishia kutukana tu na kuponda wengine, ubarikiwe mama


The Great Msafiri !! Swala za compulsory/obligatory ( kuwajibika ) 5 kila siku kwa 365 day a year!! Kuswali hatufuati kalenda tunafuuata nyakati za siku/usiku, Yaani :- 1. Asubuhi(alfajiri) 2. Adhuhuri(Noon) 3.Alasiri 4.Maghreb(dusk) 5. Al-Ishaa (jioni/usiku/evening).

Kwa kalenda ya KiiSlamu tunaanza na Mwezi wa 1 = Muharam. Mwezi wa 2 = Safar, wa 3 = Rabei Awali, wa 4 = Rabei Thani, wa 5 = Jama Awali, wa 6 = Jamad Thani, wa 7 = Rajab, wa 8 = Shaaban, wa 9 = Ramadhan, wa 10 = Shawal, wa 11 = DhulQeda, wa 12 = Dhul-Hajj......!

Na mwaka tuliyonao leo ni 1435h (hijra) na tarehe ya leo ni:- 07-03-1435h.

Okay kiibada mwezi mtukufu ni wa tisa huwaga Mfungo wa Ramadhani... na Mwezi mtukufu wa kumi nambili huwaga THE GREAT HAJJ (pilgrimage) Hija kukusanyika Makkah-al-Mukarama .....

Best wishies and Good Luck dia.



 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom