Maajabu ya kalenda ya mwaka huu 2014!

Maajabu ya kalenda ya mwaka huu 2014!

Mommadou Keita

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
230
Reaction score
238
april 4 ni friday
june 6 ni friday
august 8 ni friday
october 10 ni friday
december 12 ni friday

kama umekosa kalenda ya mwaka huu usipate tabu chukua kalenda ya mwaka 1997, kwa kiasi kikubwa zinarandana.... Think twice.
 
Wakuu si ndo huu mwaka ambao mtoto wa Shehk Yahya katabiri kuwa Zitto atarukwa na akili na kuwa mwehu wa kuaanza kuokota makopo.
 
Last edited by a moderator:
Hapa hakuna maajabu kwani,mwaka juzi zote zilikwa ni juma5 na mwaka jana zote zilikuwa Alhamisi, na mwaka huu zote Ijumaa na mwaka ujao zote zitakuwa Jumamosi. Je wajua kuwa Noel na mwaka mpya huwa zinafanana siku? mfano, mwaka jana Noel ilikuwa jumanne na mwaka huu juma5, na mwaka huu itakuwa alhamisi. hata mwaka mpya hivyo hivyo.
 
Hapa hakuna maajabu kwani,mwaka juzi zote zilikwa ni juma5 na mwaka jana zote zilikuwa Alhamisi, na mwaka huu zote Ijumaa na mwaka ujao zote zitakuwa Jumamosi. Je wajua kuwa Noel na mwaka mpya huwa zinafanana siku? mfano, mwaka jana Noel ilikuwa jumanne na mwaka huu juma5, na mwaka huu itakuwa alhamisi. hata mwaka mpya hivyo hivyo.

AJABU KWAKE NI KUWA ijumaa
 
Na FRIDAY ni siku ya swala.........hebu tupatie na kalenda ya Kiislamu maana hii ulioleta ni Georgian
The Great Msafiri !! Swala za compulsory/obligatory ( kuwajibika ) 5 kila siku kwa 365 day a year!! Kuswali hatufuati kalenda tunafuuata nyakati za siku/usiku, Yaani :- 1. Asubuhi(alfajiri) 2. Adhuhuri(Noon) 3.Alasiri 4.Maghreb(dusk) 5. Al-Ishaa (jioni/usiku/evening).

Kwa kalenda ya KiiSlamu tunaanza na Mwezi wa 1 = Muharam. Mwezi wa 2 = Safar, wa 3 = Rabei Awali, wa 4 = Rabei Thani, wa 5 = Jama Awali, wa 6 = Jamad Thani, wa 7 = Rajab, wa 8 = Shaaban, wa 9 = Ramadhan, wa 10 = Shawal, wa 11 = DhulQeda, wa 12 = Dhul-Hajj......!

Na mwaka tuliyonao leo ni 1435h (hijra) na tarehe ya leo ni:- 07-03-1435h.

Okay kiibada mwezi mtukufu ni wa tisa huwaga Mfungo wa Ramadhani... na Mwezi mtukufu wa kumi nambili huwaga THE GREAT HAJJ (pilgrimage) Hija kukusanyika Makkah-al-Mukarama .....

Best wishies and Good Luck dia.



 
The Great Msafiri !! Swala za compulsory/obligatory ( kuwajibika ) 5 kila siku kwa 365 day a year!! Kuswali hatufuati kalenda tunafuuata nyakati za siku/usiku, Yaani :- 1. Asubuhi(alfajiri) 2. Adhuhuri(Noon) 3.Alasiri 4.Maghreb(dusk) 5. Al-Ishaa (jioni/usiku/evening).

Kwa kalenda ya KiiSlamu tunaanza na Mwezi wa 1 = Muharam. Mwezi wa 2 = Safar, wa 3 = Rabei Awali, wa 4 = Rabei Thani, wa 5 = Jama Awali, wa 6 = Jamad Thani, wa 7 = Rajab, wa 8 = Shaaban, wa 9 = Ramadhan, wa 10 = Shawal, wa 11 = DhulQeda, wa 12 = Dhul-Hajj......!

Na mwaka tuliyonao leo ni 1435h (hijra) na tarehe ya leo ni:- 07-03-1435h.

Okay kiibada mwezi mtukufu ni wa tisa huwaga Mfungo wa Ramadhani... na Mwezi mtukufu wa kumi nambili huwaga THE GREAT HAJJ (pilgrimage) Hija kukusanyika Makkah-al-Mukarama .....

Best wishies and Good Luck dia.




Asante Hajjat..........sikuyajuwa haya! Je kila mwezi una siku ngapi ?
 
april 4 ni friday
june 6 ni friday
august 8 ni friday
october 10 ni friday
december 12 ni friday

kama umekosa kalenda ya mwaka huu usipate tabu chukua kalenda ya mwaka 1997, kwa kiasi kikubwa zinarandana.... Think twice.

islamic-new-year-320x480.jpg
 
The Great Msafiri !! Swala za compulsory/obligatory ( kuwajibika ) 5 kila siku kwa 365 day a year!! Kuswali hatufuati kalenda tunafuuata nyakati za siku/usiku, Yaani :- 1. Asubuhi(alfajiri) 2. Adhuhuri(Noon) 3.Alasiri 4.Maghreb(dusk) 5. Al-Ishaa (jioni/usiku/evening).

Kwa kalenda ya KiiSlamu tunaanza na Mwezi wa 1 = Muharam. Mwezi wa 2 = Safar, wa 3 = Rabei Awali, wa 4 = Rabei Thani, wa 5 = Jama Awali, wa 6 = Jamad Thani, wa 7 = Rajab, wa 8 = Shaaban, wa 9 = Ramadhan, wa 10 = Shawal, wa 11 = DhulQeda, wa 12 = Dhul-Hajj......!

Na mwaka tuliyonao leo ni 1435h (hijra) na tarehe ya leo ni:- 07-03-1435h.

Okay kiibada mwezi mtukufu ni wa tisa huwaga Mfungo wa Ramadhani... na Mwezi mtukufu wa kumi nambili huwaga THE GREAT HAJJ (pilgrimage) Hija kukusanyika Makkah-al-Mukarama .....

Best wishies and Good Luck dia.




thanks sna mkuu afro-arabica............
 
Maajabu ni yapi sasa?
TAREHE 4, 4, 2014... Friday, tarahe 6, 6, 2014 Ijumaa, taraehe 8,8 2014, ijumaaa, tarehe 10,10, 2014 ijumaaa, tarehe 12,12,2014 ijumaaa... ulishalifikiria hilo mkuu.
 
Asante Hajjat..........sikuyajuwa haya! Je kila mwezi una siku ngapi ?
The Great Msafiri; No mention !! Elimu yako ni kubwa kuliko yangu nami naAmini unajuwa zaidi ya mwanajf yeyote hapa!!!! Methali hii waijuaaa? "Je, tunaweza kumfundisha mchina kunywa chai ???"
Mtu hutambulika au hujulikana kwa comments only...., Naheshimu mchango wako daima...
images
images
The Islamic year has twelve months that are based on a lunar cycle. Allah says in the Qur'an:
"The number of months in the sight of Allah is twelve (in a year) - so ordained by Him the day He created the heavens and the earth...." (9:36). "It is He Who made the sun to be a shining glory, and the moon to be a light of beauty, and measured out stages for it, that you might know the number of years and the count of time. Allah did not create this except in truth and righteousness. And He explains His signs in detail, for those who understand" (10:5).

Okay Msafir wetu... Mwezi wa kiisilamu huendana na mzunguko wa LUNAR hivyo mara nyingi current month ikikamilisha 30day the other month huwaga 29 days... Hayo hutupelekesha kuwa na mwezi mfupi wa One day na mwezi kamili 30day " Naturally " hivyo utakuta wakazi wa duniani na maeneo yao geographically hufaidika na hali ya hewa na miezi yao Kiuchumi,Seasons,mazingira,nk, na hata kwa ibadaa, Ambayo IBADAA Hukutana na nyakati za Winter,Summer,Spring,nk bila kubaki na Hali ya moja kwa moja ONLY ((km: Christmas ni 25thDEc always in WINTER Euro/North America huo ni mfano))...yaani miezi 12 huzunguka kwa kadiri ya maalum.
In-ShaAllah ntakuwa nimejaribu kukujibu na kama kuna mapungufu au makosa, Basi kwangu ni jitihada na Elimu zaiidi ipo kwa MWENYEEZI Mungu.... ambaye hupenda mtu mwenye kujitahidii.
Good luck and his blessings.
maleka
 
Hakuna maajabu wala muujiza,,,,,ujinga mnaambukizana
 
Back
Top Bottom