JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,035
Lumolumo (watoto wa mama ntilie)
acha tu.......binafsi nimejisikia vibaya kweli.Hapa hadi nilipitiwa usingizi yani mimeshtuka baada ya my wife kupiga simu' ila huyo huenda mulogo product alafu hajaziliwa kupitia hapo ambapo ameshindwa kupaheshimu
Natumai hadi muda huu utakuwa umesha jinyakulia BAN yako,wewe ndiye mshindi wetu kwa leo.
likuma
Imethibitika kwamba ,Majina ya watu, vitu, mahali na /au hali yanayo anza na herufi L yamekuwa na nguvu za ajabu sana kuliko herufi nyingine yoyote ile. Nguvu hizo zinaweza kuwa positive au negative. Huamini? Follow me :
1. LUCIFER
2. LOVE
3. LAUGHTER.
4.LIES.
5. LOS ANGELES.
6. LIGHT
7. LESBIANS.
8. LIFE.
9. LILITH.
10.LOWASSA.
Majina yapo mengi sana, siwezi kuyataja yote hapa...
EL 2015
Nimekumbuka...
LALA.
duuh.......
hahahahahahah mwenyewe huko aliko kaweweseka
Libolo
likuma
Jiheshimu Mkuu! Humu tupo na wake zetu!!!
Leo Tupo Hapa Pub
na ukizingatia leo ni siku ya WANAWAKE DUNIANI.
kama unadhani ni matusi waulize simba!. hawakuridhishwa hapa dar wakaamua klifata libolo huko angola!Wacha matusi we mdada!!!!