Filipo
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 9,342
- 5,536
Mkuu mbona ipo wazi kuwa ni ccm mkoa wa mara?
Wapi hujaelewa?
Mwenyekiti wa ccm mkoa mara,
Katibu mkuu wa ccm mkoa mara,
Wapi hujaelewa???
Huyo msamehe tu!
Mkuu mbona ipo wazi kuwa ni ccm mkoa wa mara?
Wapi hujaelewa?
Mwenyekiti wa ccm mkoa mara,
Katibu mkuu wa ccm mkoa mara,
Wapi hujaelewa???
Huyo msamehe tu!
CHAGADEMA Ikitokea mtu anamkosoa kiongozi wake huitwa msaliliti na hufukuzwa na hatimae Chama kinakufa kama kilivyokufa kile chama cha wachagga ( CHADEMA )
Lakini kwa CCM inaruhusu ukosoaji wa namna hii ili kuzidi KUJIIMARISHA kuendelea kushika dola na ndo mana CCM TUMETAWALA, TUNATAWALA na TUTAENDELEA kutawala JMT MILELE NA MILELE.
Sent Fron My Nokia Lumia 1520 Using Jamii Forum!.
Mkuu mbona ipo wazi kuwa ni ccm mkoa wa mara?
Wapi hujaelewa?
Mwenyekiti wa ccm mkoa mara,
Katibu mkuu wa ccm mkoa mara,
Wapi hujaelewa???
Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa mara kimetoa tamko na kusema hakiko tayari kushirikina na mkuu wa wilaya ya Tarime
kwa madai kuwa ameshindwa kutatua kero mbalimbali za wananchi.Kwa sababu hiyo chama hicho kimetoa siku 21 kwa kwa Rais Jakaya kikwete kumuondoa kiongozi huyo wa serikali wilayani tarime kabla ya kuitisha maandamano yenye lengo ya kumuondoa ofisini.
Maajabu, yanaendeleaaaaa!
Viva ccm, Viva Lumumba!
Mtazamo wangu:
Chama hiki kinakufa kienyeji sana, yani masuala yakumalizwa katika vikao vya ndani vya chama wao wanayageuza kuwa agenda za kisiasa kwa umma????
Kwawasiojua labda niwafahamishe kuwa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ni makada wa ccm, pia ni wajume wa NEC mkoa na wila,
Hivyo suala la mkuu huyu lilitakiwa kumalizwa ndani ya vikao vya ndani vya chama kwa kuwa ni kada wao, na ni m nec wao.Last edited by Yericko Nyerere; Today at 17:23.
Chama hiki kinakufa kienyeji sana, yani masuala yakumalizwa katika vikao vya ndani vya chama wao wanayageuza kuwa agenda za kisiasa kwa umma????
CHAGADEMA Ikitokea mtu anamkosoa kiongozi wake huitwa msaliliti na hufukuzwa na hatimae Chama kinakufa kama kilivyokufa kile chama cha wachagga ( CHADEMA )
Lakini kwa CCM inaruhusu ukosoaji wa namna hii ili kuzidi KUJIIMARISHA kuendelea kushika dola na ndo mana CCM TUMETAWALA, TUNATAWALA na TUTAENDELEA kutawala JMT MILELE NA MILELE.
Sent Fron My Nokia Lumia 1520 Using Jamii Forum!.
Mkuu kumbe unaelewa kuwa CCM mkoa inawatendaji mbalimbali na vyeo tofautix2 hivyo huna haja ya kuongeza maswali rudi kwenye hoja yangu!. lakini kwa sababu za kuweka mjadala sawa na ni vizuri nikaongeza haya maswali.
Je hao wote wawili niwatoa tamko?
Je waliitisha waandishi wa habari na wewe ukashiriki ?
Au ulisikia habari mahali ?
Au ulipewa nakala ya Tamko ?
Au tamko ilitolewa kwanye Mkutano wa hadhara ambao wewe ulikwepo?
Au wewe u -moja wao?
Sijaona mahali kwenye habari uliyoweka maswali hayo yanapata majibu na kwa ridhaa yako naomba kuirejea!
Mkuu ili ujiridhishe wasiliana na Lumumba makao makuu au wasiliana na ccm mkoa mara.
Nimekuelewa!
Mkuu ili ujiridhishe wasiliana na Lumumba makao makuu au wasiliana na ccm mkoa mara.
kioju
CCM yampa JK siku 21 kumwondna mkuu wa wilaya ya Tarime
Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa mara kimetoa tamko na kusema hakiko tayari
kushirikina na mkuu wa wilaya ya Tarime kwa madai kuwa ameshindwa kutatua kero
mbalimbali za wananchi.Kwa sababu hiyo chama hicho kimetoa siku 21 kwa
Rais Jakaya kikwete kumuondoa kiongozi huyo wa serikali wilayani tarime kabla ya
kuitisha maandamano yenye lengo ya kumuondoa ofisini.
Source ITV
Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa mara kimetoa tamko na kusema hakiko tayari kushirikina na mkuu wa wilaya ya Tarime
kwa madai kuwa ameshindwa kutatua kero mbalimbali za wananchi.Kwa sababu hiyo chama hicho kimetoa siku 21 kwa kwa Rais Jakaya kikwete kumuondoa kiongozi huyo wa serikali wilayani tarime kabla ya kuitisha maandamano yenye lengo ya kumuondoa ofisini.
Maajabu, yanaendeleaaaaa!
Viva ccm, Viva Lumumba!
Mtazamo wangu:
Chama hiki kinakufa kienyeji sana, yani masuala yakumalizwa katika vikao vya ndani vya chama wao wanayageuza kuwa agenda za kisiasa kwa umma????
Kwawasiojua labda niwafahamishe kuwa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ni makada wa ccm, pia ni wajume wa NEC mkoa na wila,
Hivyo suala la mkuu huyu lilitakiwa kumalizwa ndani ya vikao vya ndani vya chama kwa kuwa ni kada wao, na ni m nec wao.
Unauliza chanzo wakati unaona fika kuwa mimi ndie nimeileta hapa?
Kama huniamini mimi, je utamuamini usiyemuona?
Kwa hisani ya Dunia ya utandawazi!
Tangu lini wewe unaaminika?