Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 966
- 537
Sasa hivi chama cha mapinduzi (CCM) kipo katika kikao maalum cha kamati kuu huko dodoma,pamoja na mambo mengine kinaandaa mabadiliko makubwa ya kichama na kuelekea katika mabadiliko hayo kamati ya wenyeviti na makamu wenyeviti wastaafu wameundiwa kamati maalum kusimamia mabadiliko hayo ya kichama. Miongoni mwa waliochaguliwa ni pamoja na Rais mstaafu wa awamu ya pili,Alhaji Ally H.Mwinyi, Rais wa awamu ya tatu Benjamini mkapa,Pius Msekwa,Rais mstaafu wa Zanzibar Abeid Aman Karum nk.
Kitu kimoja najiuliza mabadiliko gani wanayoyataka ccm yatokee kwa kuwaweka watu wale wale wenye mtazamo ule ule?Huu ni mzaha na kucheza na akili za watanzania.
Kitu kimoja najiuliza mabadiliko gani wanayoyataka ccm yatokee kwa kuwaweka watu wale wale wenye mtazamo ule ule?Huu ni mzaha na kucheza na akili za watanzania.