Aman Ng'oma
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 966
- 537
- Thread starter
- #21
Labda tunapaswa kujitafakari zaidi wapinzani,inawezekana hiyo ndiyo kamati ya ushindi ya ccm ,uhindi wa faulo.Nadhani kwa vyama vya upinzani vikalitazama hili kwa jicho la tatu,itakuwa ni kuwarahisishia ushindi kama vyama vya upinzani vitakubali kuingia kwenye uchaguzi bila kuwa na tume huru ya uchaguzi .Vingenevyo ushindi utakuwa ule ule ccm 61% na 39% watagawana wapinzani.Refer uchuguzi wa mwaka 2010,au refer kule zimbabwa nadhani wamefundishwa mbinu na Watanzania.
Nionavyo mimi ccm kuachia nchi kirahisi rahisi kwao ni ngumu,lazima itumike mikakati ya maksudi na mahsusi ili kuitoa madarakani ccm.
Nionavyo mimi ccm kuachia nchi kirahisi rahisi kwao ni ngumu,lazima itumike mikakati ya maksudi na mahsusi ili kuitoa madarakani ccm.