Maajabu ya awamu ya 5

Maajabu ya awamu ya 5

Wataalamu walioajiriwa serikalini waendelee kuwa watazamaji.

Au waendelee kusaini daftari la mahudhurio na kuondika kusubiri mdhahara.

Wote ni wasomi wa tanzania hii hii.
Hapana , serikali inaweza anzisha mashirika mengine yakatumika kushauri, vipo vyuo ambavyo navyo vina nafasi
 
Mbona kama unajikuna mwenyewe kaka. Hayo ndio maajabu. Kazi IPO. Unatetea wapiga dili nini. Ghorofa la floor NNE mnapiga being ya 5-10 billion sasa mtajenga mawili ama matatu. Majengo yote ya zamani yaliyodumu miaka 50 hadi 100 consultancy na contractor alikuwa nani. Mliua taasisi za umma muingize ubinafsi wenu kupitia kampuni zenu. Mtaelewa tu.
Hivi kazi na malengo ya crb ni yapi sambamba na ppra? Hali hii ikiendelea hatutazuia mtu binafsi nae kujifanya anabana matumizi kwa kufuata utaratibu huu mpya. Jaribu kuwa makini kidogo
 
Kulikoni kufanya alichokifanya JPM,alipaswa at least kufanya jambo hili kwa manufaa ya wasomi wa taaluma ya ujenzi na wakandarasi wetu kwa ujumla.

Angekaa na bodi ya manunuzi, wapange wao price list ya hardware materials according to market price kwa wakati uliopo. Then wakae pamoja na construction consultant kutoka Ardhi University waandae kitu inaitwa "rates" ya kila construction item in which itawasaidia kuandaa bill inayoendana na uhalisia, profit margin ktk ujenzi za kumpa Mkandarasi zinaeleweka.

Then waendelee na mfumo ule ule wa kutangaza tender kwa wakandarasi, cha msingi Mkandarasi atakaezidi kiwango kilichopangwa na wataalamu wa bodi asipewe tender, na atakaeangukia kwenye budget stahiki apewe kazi. Its very simple.
Kwani zamani ilikuwaje mkuu? Kuna ushahidi wowote unaoonyesha baadhi ya zabuni kutolewa nje ya bajeti ya serikali kweli. Miradi yote iliyofanyika baada ya usanifu makini haiwezi kuwa na ongezeko lisilokuwa na sababu za msingi.
 
Kwani zamani ilikuwaje mkuu? Kuna ushahidi wowote unaoonyesha baadhi ya zabuni kutolewa nje ya bajeti ya serikali kweli. Miradi yote iliyofanyika baada ya usanifu makini haiwezi kuwa na ongezeko lisilokuwa na sababu za msingi.

Ilikua kama nlivyosema ila price control haikua ikizingatiwa sana, tambua consultants nao wana njaa zao,sasa hawa consultants wangepewa na timu ya watu wengine Ku ensure kua kama profit margin ya contractor ni 10% ya kila item Basi izingatiwe kua kweli atakachokipata ndo hicho. Kuna item kama ktk boq zinakua na profit zaid hata ya 100%
 
Ilikua kama nlivyosema ila price control haikua ikizingatiwa sana, tambua consultants nao wana njaa zao,sasa hawa consultants wangepewa na timu ya watu wengine Ku ensure kua kama profit margin ya contractor ni 10% ya kila item Basi izingatiwe kua kweli atakachokipata ndo hicho. Kuna item kama ktk boq zinakua na profit zaid hata ya 100%
huwezi kukwepa gharama kama unataka kitu kizuri,
 
Back
Top Bottom