accused
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,496
- 2,750
Kulikoni kufanya alichokifanya JPM,alipaswa at least kufanya jambo hili kwa manufaa ya wasomi wa taaluma ya ujenzi na wakandarasi wetu kwa ujumla.
Angekaa na bodi ya manunuzi, wapange wao price list ya hardware materials according to market price kwa wakati uliopo. Then wakae pamoja na construction consultant kutoka Ardhi University waandae kitu inaitwa "rates" ya kila construction item in which itawasaidia kuandaa bill inayoendana na uhalisia, profit margin ktk ujenzi za kumpa Mkandarasi zinaeleweka.
Then waendelee na mfumo ule ule wa kutangaza tender kwa wakandarasi, cha msingi Mkandarasi atakaezidi kiwango kilichopangwa na wataalamu wa bodi asipewe tender, na atakaeangukia kwenye budget stahiki apewe kazi. Its very simple.
Angekaa na bodi ya manunuzi, wapange wao price list ya hardware materials according to market price kwa wakati uliopo. Then wakae pamoja na construction consultant kutoka Ardhi University waandae kitu inaitwa "rates" ya kila construction item in which itawasaidia kuandaa bill inayoendana na uhalisia, profit margin ktk ujenzi za kumpa Mkandarasi zinaeleweka.
Then waendelee na mfumo ule ule wa kutangaza tender kwa wakandarasi, cha msingi Mkandarasi atakaezidi kiwango kilichopangwa na wataalamu wa bodi asipewe tender, na atakaeangukia kwenye budget stahiki apewe kazi. Its very simple.