Prove God exists kwanza.By the way if you really want a piece of me .... just pm me. Tunaharibu threads za watu.
Maskini halafu wana VIBAMIA
Hmmmmm....Gid??? I don't know who this one is. Your imaginary friend perhaps?? Sorry pal...am afraid that i can't help you with this one.Acha longolongo.
Can you prove Gid exists?
Can you prove witchcraft exists?
Sent from my Kimulimuli
Hahahahaa ..... ushahamia kwenye ngono mapema yote hii??Prove God exists kwanza.
PM unataka nikutongoze?
Sina haja ya kutongoza mimi Bi Zuhra ninaye tayari.
Sent from my Kimulimuli
Exactlyhii ni janja ya waganga wa kienyeji huko kenya. hawa jamaa ni wavuta bangi, mwenye gari ni msanii, wanachotaka ni kupata wateja kwa kutangaza biashara ya huyo mganga.
Kwa wabongo wenye akili fupi matangazo ya biashara kama haya yanawapata sana.hii ni janja ya waganga wa kienyeji huko kenya. hawa jamaa ni wavuta bangi, mwenye gari ni msanii, wanachotaka ni kupata wateja kwa kutangaza biashara ya huyo mganga.
You are talking bullshit. Your God is a myth.Hmmmmm....Gid??? I don't know who this one is. Your imaginary friend perhaps?? Sorry pal...am afraid that i can't help you with this one.
As far as GOD's existence is concerned I can't prove this one either because I am not allowed to question his existence too. All i do is believe, so unless someone believes...there is little I can do. And you will only believe if you face certain circumstances which I can't tell either.
Hakuna uchawi hapo so far. Ni kushikiana akili tu.uchawi kama huu unamfaa sana mwizi wa kura akate mauno nje ya kituo cha kupigia kura akiwa uchi hadi kuna kucha
Uchawi ungekuwepo kweli, Afrika lingekuwa bara lililoendelea kuliko yote duniani.Dah....safi sanaaaa..... Ila imekaa kibinafsi sana....... Ingekuwa poa sana ingefanywa kwa wala rushwa na wezi wa Mali ya umma..... Ukipiga tu asubuhi mwenyewe unawahi kkoo.... unavua nguo na kuanza kukata mauno....
Sent from my beretta ARX 160 using JamiiForums Mobile App