pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Watu wa mazingaombwe hao
Mkuu Kiranga ndo id yako mpya hiiUmejibu swali moja kwa kutupa swali jingine.
Nguvu hizo ni zipi? Unajuaje kama zipo kweli na si hadithi tu?
Sent from my Kimulimuli
Post no 187Wewe uko sahihi...hapo matapeli wametengeneza movie na watu watapigwa sana!
Hakika mkuu mwanzoni nilikuwa niko njia panda ila now nimeelewa what has happenedWahenga walisema, penye ukweli, uongo hujitenga.
Penye wengi, haliharibiki jambo.
Tena walisema, wajinga ndio waliwao.
Asante mdau Lewis254 kwa kutuangazia mwanga hapa, tulikuwa tunapigana na giza totoro la imani za ujinga.
Kiranga yuko Indonesia leo, hataki hata kuingia kwenye mtandao.
inamaana huniamini si ndiyo??Nitakuwekea.
inamaana huniamini si ndiyo??
Mbn Mimi nakuamini au wewe siyo binadamu!??? njoo nimekumiss unifariji hat kwa maneno matupu usikuu huu niweze kulalaBinadamu hawaminiki.
Mbn Mimi nakuamini au wewe siyo binadamu!??? njoo nimekumiss unifariji hat kwa maneno matupu usikuu huu niweze kulala
Bas we utakuwa pacha wake wa ukwel kabisa mkuu,, hahaKiranga yuko Indonesia leo, hataki hata kuingia kwenye mtandao.
View attachment 582522
Habari zinazochipuka hii leo toka Mombasa Nchini Kenya, wezi wawili yapata jana jioni waliliiba gari la bwana mmoja alilokuwa ameliegesha sehemu apate kinywaji kisha aende zake home.
Baada ya mabwana hao kufanya tendo hilo leo asubuhi wananchi wametamaushwa kwa kuwakuta wanaume hao wakicheza muziki kulizunguka gari hilo huku wakiwa uchi.
Gari hilo wanalodaiwa kuwa waliiba walikuwa wameliegesha pembeni huku nyoka wako shingoni!
Aisee iwe funzo kwa wengine, Mombasa hata shilingi haiokotwi, utashtukia umeliwa jicho usiku kucha ohhoo!