The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,088
- 14,577
Hapa tupeane uliyowahi yaona wewe kwa ushuhuda wako nitaanza mimi kama ifuatavyo;
1.Mkoani Iringa kuna eneo linaitwa kisima cha bibi kipo mlima wenye kona kumi na mbili kuingia Iringa njini eneo lenye kamsitu mwaka 1994 kwa macho yangu nilimshuhudia bibi huyo ambaye ni nadra sana na kumuona akiwa amevalia mavazi meupe na sura ya kun'gaa akiwa anaosha miguu, alikuwa mrefu sana kama futi 10 hii wameiona wengi sana hususani waliokulia mitaa ya kitanzini na kusoma azimio primary.
2.Nikiwa Kigoma niliwahi kuuona mto kijiji cha Kishanga ambao mchana unashuka mlima jioni unaanza kupanda mlima niligusa maji na kushuhudia mwenyewe yakipanda mlima tena polepole.
3.Kuna mzee alikuwa anaitwa Wanzinga alikuwa na gari bovu sana pale Njombe na trafiki hawamkamati lakini kuna kipindi wakaajiriwa wapya wakalikamata wakalipeleka polisi, mzee akaambiwa alipe fine akasema pale hana hela anaenda kuchukua nyumbani alipoondoka kama saa moja akarudi kulipa cha ajabu akadai wamemubia injini na kweli kukagua gari ilikuwa haina injini wala mafuta akadai kuwashitaki ndipo RPC akashuka akamtaka radhi na kuwaonya vijana wasikamate wazee cha ajabu mzee akarudishiwa faini akaliwasha likawaka na likaondoka.
HEBU NIPENI YENU
1.Mkoani Iringa kuna eneo linaitwa kisima cha bibi kipo mlima wenye kona kumi na mbili kuingia Iringa njini eneo lenye kamsitu mwaka 1994 kwa macho yangu nilimshuhudia bibi huyo ambaye ni nadra sana na kumuona akiwa amevalia mavazi meupe na sura ya kun'gaa akiwa anaosha miguu, alikuwa mrefu sana kama futi 10 hii wameiona wengi sana hususani waliokulia mitaa ya kitanzini na kusoma azimio primary.
2.Nikiwa Kigoma niliwahi kuuona mto kijiji cha Kishanga ambao mchana unashuka mlima jioni unaanza kupanda mlima niligusa maji na kushuhudia mwenyewe yakipanda mlima tena polepole.
3.Kuna mzee alikuwa anaitwa Wanzinga alikuwa na gari bovu sana pale Njombe na trafiki hawamkamati lakini kuna kipindi wakaajiriwa wapya wakalikamata wakalipeleka polisi, mzee akaambiwa alipe fine akasema pale hana hela anaenda kuchukua nyumbani alipoondoka kama saa moja akarudi kulipa cha ajabu akadai wamemubia injini na kweli kukagua gari ilikuwa haina injini wala mafuta akadai kuwashitaki ndipo RPC akashuka akamtaka radhi na kuwaonya vijana wasikamate wazee cha ajabu mzee akarudishiwa faini akaliwasha likawaka na likaondoka.
HEBU NIPENI YENU

