Amo90
Member
- May 20, 2020
- 26
- 75
Manager wa uwanja wa songwe airport anawambia watumishi idara zingine za serikali (kama madini, afya, uhamiaji, kilimo, etc) wenye ofisi ktk uwanja kuanza kulipia huduma kama umeme, maji, etc.
Watumishi wanaambiwa watoe hela zao mfukoni yaani kama mko nyumba ya kupanga.
Yaani manager anaona huduma hizo hazina faida ya moja kwa moja kwake, hopeful he will be okay kama zisipowepo.
Lkn huduma hizo au uwepo wa idara hizo ndo zinaufanya uwanja kuwa na sifa za kimataifa na standard service to be available ktk uwanja wowote ndege.
Hayo maelekezo au maagizo yana wanafanya watumishi wa idara hizo kuona kwamba manager uwanja haoni umuhimu wa idara hizo ktk uwanja wa ndege wake wa ndege.
Kama ni maagizo ya mamlaka ya viwanja vya ndege basi hawana budi kuyaangalia upya kama ni maamuzi ya manager uwanja binafsi basi inahaja ya kuliangalia tena suala hilo.
Kama ni kushare cost wakuu wa taasisi husika ambazo wana ofisi zao uwanjani hapo wawasiliane kuona namna bora ya kufanya sio kuwachanganya watumishi na mzgo ambao hawahusiki direct kwa maana hawafanyi kazi binafsi pale.
Wahusika angalieni hayo yasitie doa uwanja wetu.
Watumishi wanaambiwa watoe hela zao mfukoni yaani kama mko nyumba ya kupanga.
Yaani manager anaona huduma hizo hazina faida ya moja kwa moja kwake, hopeful he will be okay kama zisipowepo.
Lkn huduma hizo au uwepo wa idara hizo ndo zinaufanya uwanja kuwa na sifa za kimataifa na standard service to be available ktk uwanja wowote ndege.
Hayo maelekezo au maagizo yana wanafanya watumishi wa idara hizo kuona kwamba manager uwanja haoni umuhimu wa idara hizo ktk uwanja wa ndege wake wa ndege.
Kama ni maagizo ya mamlaka ya viwanja vya ndege basi hawana budi kuyaangalia upya kama ni maamuzi ya manager uwanja binafsi basi inahaja ya kuliangalia tena suala hilo.
Kama ni kushare cost wakuu wa taasisi husika ambazo wana ofisi zao uwanjani hapo wawasiliane kuona namna bora ya kufanya sio kuwachanganya watumishi na mzgo ambao hawahusiki direct kwa maana hawafanyi kazi binafsi pale.
Wahusika angalieni hayo yasitie doa uwanja wetu.