WAHEED SUDAY kama umebanwa sana hapo mbona pazuri tuHapo hata kama nimetingwa kiasi gani siwezi kukaa hapo hata kidogo
WAHEED SUDAY kama umebanwa sana hapo mbona pazuri tu
Kama unajiskia haja jisaidie hapa
Aaaa mbona mwenzako kamaliza tayari hapo?
Nafkiri ni kwaajili ya wanawake tu hahahaa
Kama unajiskia haja jisaidie hapa
Naweza kukojoa ila sio kingine
Hapo hata kama nimetingwa kiasi gani siwezi kukaa hapo hata kidogo
Umeshawahi patwa na tumbo la kuharisha wewe...???