Maajabu ni mengi

Maajabu ni mengi

Lakini kwa mazingira yanavyoonekana inaonesha matengenezo bado hayajaisha, huyo mama anaweza kua anaangalia hadi hapo ilipofikia maendeleo yakoje, nafikiri hatua ya mwisho kukitengenezea uzio
 
yan hata kama ungekuwa umebanwaje, hapo haja si ndogo wala kubwa haitoki ng'oooo!
extraordionary unajua tumbo lakuharisha? Kuna mizizi flani ivi wanasema inasafisha tumbo, ushawahi kula? Unaambiwa iyo lazima ule jumapili, ukila siku ya kazi huko kazini utakua kituko
 
Last edited by a moderator:
extraordionary unajua tumbo lakuharisha? Kuna mizizi flani ivi wanasema inasafisha tumbo, ushawahi kula? Unaambiwa iyo lazima ule jumapili, ukila siku ya kazi huko kazini utakua kituko

nalifaham tu vzr, lilishawahi kunitokea nikiwa safarin..
 
Sasa na safari huko unakutaka na kitu kama hicho

yan nilikuwa siongei na mtu, nilikuwa sitaki kula kitu chochotee.. nilivumilia mpk nikafika nilipokuwa naenda! ile nashuka tu stend brek ya kwanza toiiiii! ha! ha!
 
Back
Top Bottom