Hongera mkuu umechaguliwa Mzumbe PCMbc nnaomba msada wa kuangalziwa na mm coz nna c ya ph na chem s2631/168 muklma sec
Hongera mkuu umechaguliwa Mzumbe PCMbc nnaomba msada wa kuangalziwa na mm coz nna c ya ph na chem s2631/168 muklma sec
Nina uhakika mkuu ana C mbili tu, ndo maana nikaamua kuileta hii thread ili nijue kama necta wanachukua hadi dv 4 point 26 au la, ila mimi ninachoona labda kuna tatizo wamelifanya necta.
Kama ni kweli basi kuna makosa katika selection. Necta hawafanyi selection bali wanatoa matokeo tu. Selection inafanywa na WEMU/TAMISEMI na baadhi ya wakuu wa shule zenye kidato cha 5/6. Asifikiri ameukata. Afuatilie mapema apate uhakika kwanza.Nina uhakika mkuu ana C mbili tu, ndo maana nikaamua kuileta hii thread ili nijue kama necta wanachukua hadi dv 4 point 26 au la, ila mimi ninachoona labda kuna tatizo wamelifanya necta.
Mbona mtu kaenda PCM na masomo ya arts tupu! tena toka Marian !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Ngoja na mi nikaangalie maana mi nina c ya bio na chem
Umepita
Hongera mkuu umechaguliwa Mzumbe PCM
But wapo wenye div 3ya 25 walioachwa, ninao majina 5Bila kufanya hivyo baadhi ya shule zisingepata wanafunzi wa form V, kwahiyo credit mbili na D kadhaa wamechaguliwa..!!
Hongera mkuu umechaguliwa Mzumbe PCM