Maajabu makubwa ya prof.Muhongo

Maajabu makubwa ya prof.Muhongo

Prof kanena maneno ya busara sana. Hapo hakuna porojo. Ni ukweli na uhakika

Tujipime kwanza kwanza kwa utekelezaji wa MKUKUTA, MKURABITA, Maisha bora kwa kila mtanzania. Je malengo tuliojiwekea yametekelezeka? Kama sivyo, basi na hiyo 2025 utekelezaji utakuwa kama huu
 
Chapa kazi muhongo taifa linategemea sana taaluma yako tunaimani na wewe kwenye masuala ya umeme na gesi wajinga wachache wasikutishe.
 
Tujipime kwanza kwanza kwa utekelezaji wa MKUKUTA, MKURABITA, Maisha bora kwa kila mtanzania. Je malengo tuliojiwekea yametekelezeka? Kama sivyo, basi na hiyo 2025 utekelezaji utakuwa kama huu
Huwezi kusema yametekelezwa au la wakati malengo yenyewe huyajua ila tunaoyajua tunajua tumethubutu tumeweza na sasa tunasonga mbele.
 
Mwaka 2015 uwe wenye mafanikio makubwa sana. Taifa letu linaingia kwenye Uchumi wa Gesi Asilia. Dira yetu ya Maendeleo inatulazimisha kufanya kazi kwa bidii zaidi na kwa ubunifu mkubwa kwa kutumia sayansi na teknolojia ili ifikapo Mwaka 2025 Tanzania iwe nchi ya kipato cha kati (uchumi imara). Umeme mwingi, wa uhakika, wa bei nafuu na unaopatikana kiurahisi vijijini na mijini ndiyo injini kubwa ya upatikanaji wa ajira mpya kwa vijana wetu. S Muhongo
Unamzungumzia huyu mwizi wa Escrow aliepigwa mayai viza na wananchi?


Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
Last edited by a moderator:
Chapa kazi professor wa ukweli nakujua mambo yako toka pale udsm wakati unanifundisha Structural and Geology of Tanzania jamani tunahitaji wataalamu kama hawa serikalini na sio wapiga porojo majukwaani na ntaiombea sana CCM Mwaka huu baada ya rais mpya kuapishwa atulie sana wakati wa kuteua baraza la mawaziri huo ndo msingi wa maendeleo ila wataalamu wa kike bado ni tatizo tumejionea kwa huyu mama T. ni professor eti lakini anaambiwa eti hii hela lazima iingie kwenye acc yako japo ni pesa ya shule anakubali
 
Chapa kazi professor wa ukweli nakujua mambo yako toka pale udsm wakati unanifundisha Structural and Geology of Tanzania jamani tunahitaji wataalamu kama hawa serikalini na sio wapiga porojo majukwaani na ntaiombea sana CCM Mwaka huu baada ya rais mpya kuapishwa atulie sana wakati wa kuteua baraza la mawaziri huo ndo msingi wa maendeleo ila wataalamu wa kike bado ni tatizo tumejionea kwa huyu mama T. ni professor eti lakini anaambiwa eti hii hela lazima iingie kwenye acc yako japo ni pesa ya shule anakubali

Mpum....vu sana wewe yani unahitaji viongozi wezi kama muhongo?? Waongo kama muongo??? Msh..nzi sana wewe. Sina kawaida ya kutukana lakini inabidi nikutukane vilivyo. Kama unaona mzandiki huyu anafaa kamweke kwenye mgodi wako wa mchanga au kifusi si kwenye shirika la umma. Watu kama ndiyo mnarudisha nyuma maendeleo. Mwizi na fisadi kama muhongo, chenge na ngeleja ninyi mnawaona mashujaa. Ama kweli wazungu hawakukosea waliposema always a fool finds a greater fool to admire. (Mtu mpumbavu humtafuta mpumbavu zaidi yake ili afuate njia zake).
 
Reginald Mengi aka mchaga mzinifu akiona haya anatamani kujinyonga

Hajawahi kukufanya kweli wewe huyu mchaga? Mbona kama unamshobokea sana huyu Mangi? Inawezekana ulikuwa gundu akakuacha..period!!
 
Huwezi kuendelea kwa kua na jaziba naona umejaa gas shauri yako mzee tofautisha Accountability na Responsibility ndo utatambua ni wapi unapopungukiwa na wasiwasi na CIP yako
 
Mbona post zako nyingi zinahusiana na uzinzi? Lazima utakuwa mzinzi au mwasherati.

Huyu Lizabon Atakuwa mengi kamfanyia kitu mbaya sasa anatamani tena amfanye kapigwa chini! Huyu nahisi si riziki na anavyoshobokea wachaga inawezekana walishamchapa nao wengi, maana akisikia tu mangi macho lazima yamtoke pima...
 
Lubebenamawe punguza jaziba utakuja kufa na ugonjwa wa moyo shauri yako fikiria familia yako
 
Mwaka 2015 uwe wenye mafanikio makubwa sana. Taifa letu linaingia kwenye Uchumi wa Gesi Asilia. Dira yetu ya Maendeleo inatulazimisha kufanya kazi kwa bidii zaidi na kwa ubunifu mkubwa kwa kutumia sayansi na teknolojia ili ifikapo Mwaka 2025 Tanzania iwe nchi ya kipato cha kati (uchumi imara). Umeme mwingi, wa uhakika, wa bei nafuu na unaopatikana kiurahisi vijijini na mijini ndiyo injini kubwa ya upatikanaji wa ajira mpya kwa vijana wetu. S Muhongo

Tanzania kuna Technologia gani hiyo inayosemwa na Muongo?? sayansi na technolojia ya kwenye makaratasi tu?? Aibu hiyo.Vijana msifuate ushabiki wa porojo za wanasiasa mpaka mtoane macho. Yote hayo niporojo tu hakuna chochote.
 
aliongopa eti mgao utakuwa historia,as i write umeme umeshakatwa...nutty lying professor!
 
Lubebenamawe punguza jaziba utakuja kufa na ugonjwa wa moyo shauri yako fikiria familia yako

Nadhani hiyo ndiyo namna nzuri ya kupunguza jazba, kujizuia na kukaa na hasira moyoni ni hatari kiafya kuliko kulipuka kwa hasira. Nimejilazimisha kuipenda CCM imeshindikana. Nina kazi inayonitosha kula mimi na familia pamoja na kusaidia wahitaji. Nilalazimika kuwa mwana ccm miaka ya nyuma kwa ajili ya ajira lakini kamwe sijawahi kuipenda CCM. Serikali ya CCM imeniajiri na kunilipa ujira mzuri. Lakini sifurahii inavyowafanyia watz wenzangu ambao wengi kwao kupata milo mitatu kwa siku ni shida.
 
Pamoja na yote uliyoongea lazima kwanza Muhongo awajibike ndio hayo yafanyike, sio rahisi kutusahaulisha kirais rais tu apishe wengine waje wafanye kazi.
 
Back
Top Bottom