MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,549
- 24,159
Wakikusanyika mapoyoyo wengi sehemu fulani..Kutokujua wewe kama walishanunua haina maana kuwa hawajasema kama walinunua.
Kuna mtu anaweza asijue kuwa kuna Dar es Salaam hapa duniani lakini haina maana kuwa haipo au haitangazwi kama ipo.
Tumia hata common sense katika fikra zako.
Pitia hii thread kuhusu tamko la serikali mwezi Oktoba 2017;
LINK>>>Vichwa 15 vya Treni Kununuliwa na Serikali
Wewe lazima utakuwa kiongozi wao..
Empty-headed.