Maajabu huko China...

Maajabu huko China...

LINCO

Member
Joined
Dec 16, 2015
Posts
34
Reaction score
13
China inatarajiwa hivi karibun kukumbwa na hali ya baridi kali katika kipindi hiki cha masika licha ya hayo yote kumetokea vitu vya kuastaajabisha kutokana na watu mbalimbali nchini humo kufanya michezo ya hatari kwenye barafu iliyoganda
12573808_1117359248304894_5732985052219849815_n.jpg
12507115_1117359094971576_7424560374737093319_n.jpg Mwanamke akiogolea kwenye mto Songhuajiang ulioganda kwa barafu 12573808_1117359248304894_5732985052219849815_n.jpg wanajeshi wakifanya mazoezi kwa kutumia barafu
12400983_1117359281638224_6580668213233396228_n.jpg
jamaa akicheza bao akiwa ndani ya box lililojaa barafu
 
Wachina ni mwisho wa matatizo

Duc in Altum
 
Hivi huko kipindi hiki friji si hazina soko ????
 
Back
Top Bottom