Maafisa utumishi manispaa morogoro wazembe wanafanya kazi kwa mazoea

mitigator

JF-Expert Member
Dec 28, 2014
5,133
7,064
Ofisi ya utumishi manispaa morogoro ni wazembe na wanafanya kazi kwa mazoea,ukienda ofisin kwao ni umbea mtupu,wanatoa huduma kwa hiari kana kwamba ni ofs binafs ya mtu isiyojali wateja.Serikali ilitoa agizo la kupunguza madai pasipokua na ulazima.wametoa barua za kupandisha watumishi madaraja toka january bali hakuna marekebisho ya mshahara kwa sababu ya uzembe wa kutotuma taarifa mapema utumishi.Mamlaka husika iwashughurikie
 
Haiwezekani haimashaur za pembezon kama korogwe watume taarifa mapema wao wanapiga soga tu ofsin na ni wajeur kupitiliza utafikiri watoto wa presidaa
 
Teña yupo huyu binti ana kamguu flani hv na vimacho vidogo ana majibu ya kuñy.a hatari, watu wanatoa barua eti umepanda daraja mwisho wa siku hakuna lolote linalofanyika, kazi za kupeana ndio madhara yake haya
 
huna simu inayorekodi ? watu sasa tunawarekodi manes,doctors, na wengine woote wanaojifanya wanamiliki ofisi zetu badala ya kutoa huduma.
 
Back
Top Bottom