Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 3,742
- 7,697
Huku Bongo Pauline Gekul kafutiwa mashitaka na DPP yani hata uchunguzi hakuna Dpp kaanza kuzunguka kwenye vyombo vya habari kumteteaKuna mahala pesa haifanyi kazi kabisaa hawa jamaa wao ni kufwata sheria ya Nchi yao inataka nini na haitaki nini, huku Afrika asingaliguswa ingalibakia kusema uchunguzi hauja kamilika miaka inakwenda. Utawla wa sheria kwakweli ni nguzo ya kuendesha Nchi bila hofu yoyote maana hamna aliye juu ya sheria kabisa.