Prezidah
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 750
- 182
Salaam waungwana,
Katika ukurasa wa kwanza (front page) wa karibu magazeti yote leo 05.03.2015 taarifa kubwa ni kuhusu maafa kahama yaliyotokana na mvua kubwa. Naungana nanyi kuwapa pole wafiwa wote pamoja na kuwaombea uponyaji wote waliopatwa na majeraha.
Kutoa/kupata habari ni jambo moja na kutoa/kupata habari sahihi nayo ni jambo jingine. Sasa nisiwachoshe kero yangu leo ni idadi ya watu waliofariki na majeruhi katika maafa hayo nani yupo sahihi? ??? Nimenukuu yaliyoandikwa kwenye magazeti yetu ili tujiulize kwa pamoja;
"At least 42 killed and dozens injured" ---- the citizen
"More than 40 died on spot & 82 injured"-----daily news
"Storm claims 38 lives & 82 others seriously injured"---the guardian
"Watu 40 wapoteza maisha, 85 wajeruhiwa"-----uhuru
"Mvua yaua 38 shinyanga, yajeruhi 82"----jambo leo
"Mvua yaua 38" ----- Habari leo
"Mvua ya mawe yaua 42 na kujeruhi 82 kahama"--'-'Raia Tanzania
"Barafu yafunika kijiji, Watu 42 wafariki dunia kahama, zaidi ya 91 wajeruhiwa"---Mtanzania
"Watu 39 wafariki, 59 mahututi"---Majira
"Gharika yaua 38, zaidi ya 82 wajeruhiwa"---Tanzania Daima
"Mvua yaua 38, yajeruhi 82"-----Nipashe
"Mvua ya mawe yaua watu 42 na kujeruhi wengine 91 kahama"----Mwananchi
Kati ya magazeti haya yapo ya serikali, vyama na hata kampuni moja lakini takwimu tofauti. Ingekuwa ni hesabu ya kawaida ningetafuta wastani then am done lakini hizi si namba tu bali maisha ya watu. Nisaidieni je tatizo ni waandishi wa habari hizi au wahariri? ??? Je hapa kuna weledi kweli?
Katika ukurasa wa kwanza (front page) wa karibu magazeti yote leo 05.03.2015 taarifa kubwa ni kuhusu maafa kahama yaliyotokana na mvua kubwa. Naungana nanyi kuwapa pole wafiwa wote pamoja na kuwaombea uponyaji wote waliopatwa na majeraha.
Kutoa/kupata habari ni jambo moja na kutoa/kupata habari sahihi nayo ni jambo jingine. Sasa nisiwachoshe kero yangu leo ni idadi ya watu waliofariki na majeruhi katika maafa hayo nani yupo sahihi? ??? Nimenukuu yaliyoandikwa kwenye magazeti yetu ili tujiulize kwa pamoja;
"At least 42 killed and dozens injured" ---- the citizen
"More than 40 died on spot & 82 injured"-----daily news
"Storm claims 38 lives & 82 others seriously injured"---the guardian
"Watu 40 wapoteza maisha, 85 wajeruhiwa"-----uhuru
"Mvua yaua 38 shinyanga, yajeruhi 82"----jambo leo
"Mvua yaua 38" ----- Habari leo
"Mvua ya mawe yaua 42 na kujeruhi 82 kahama"--'-'Raia Tanzania
"Barafu yafunika kijiji, Watu 42 wafariki dunia kahama, zaidi ya 91 wajeruhiwa"---Mtanzania
"Watu 39 wafariki, 59 mahututi"---Majira
"Gharika yaua 38, zaidi ya 82 wajeruhiwa"---Tanzania Daima
"Mvua yaua 38, yajeruhi 82"-----Nipashe
"Mvua ya mawe yaua watu 42 na kujeruhi wengine 91 kahama"----Mwananchi
Kati ya magazeti haya yapo ya serikali, vyama na hata kampuni moja lakini takwimu tofauti. Ingekuwa ni hesabu ya kawaida ningetafuta wastani then am done lakini hizi si namba tu bali maisha ya watu. Nisaidieni je tatizo ni waandishi wa habari hizi au wahariri? ??? Je hapa kuna weledi kweli?