Faiza, to me "age ain't nothing but a number!", kama vipi, sema tuu, I don't mind!.
Kwa wale wadogo, tunaanza sisi, ila kwa wakubwa, wanaanza wao!, nakuona Faiza unaanza!,
Sema tuu, mimi ndio zangu!.
Pasco
Ukiangalia taarifa hizo hazitofautiani sana. Unajua haya ni maafa, taarifa zake zabadirika kulingana na muda na kile wanachokiona katika field. Muda unavyosonga majeruhi wanaweza kufa; lakini pia watapata watu wengine (ni kama wanatafuta, maana si wanafanya uokozi) waliokumbwa na maafa pamoja na majeruhi. Sasa inategemea mwandishi alichukua taarifa za muda gani na kuamua kuziandikia habari. Maana kila chombo kina deadline yake ya kukusanya habari. Vyombo vikubwa vyenye nguvu kama Mwananchi utaona vinachapisha taarifa latest zaidi. Ndio maana hata idadi za vifo na majeruhi walizoandika ni kubwa.
Naomba niweke sawa mkuu hivi magazeti ya mwananchi, nipashe na the guardian yana bosi tofauti? Namaanisha mmiliki + mhariri
"At least 42 killed and dozens injured" ---- the citizen
"Storm claims 38 lives & 82 others seriously injured"---the guardian
"Mvua yaua 38, yajeruhi 82"-----Nipashe
"Mvua ya mawe yaua watu 42 na kujeruhi wengine 91 kahama"----Mwananchi