Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
Waziri wa mambo ya nchi za nje ...ni moja wa wamiliki wa nyumba...kwenye bonde la Jangwani ...,nyumba hiyo ipo kwenye bonde la jangwani sehemu iliyopo chini ya mtaa wa mchikichini....,watu winging Wenye nyumba eneo hilo ni pamoja na mbunge zungu,diwani abuu Jumaa...na mfanyabiashara fida Hussein
Anayetaka kuona nyumba ya Membe aende mtaa huo asipite ofisini anuse kupitia wananchi wa kawaida....nyumba hiyo ya Membe kuna kipindi ilivunjwa....mwaka juzi na manispaa ya ilala ...lakini Akaijenga tena...na inasadikika amejenga guest ....au pia anaweza kuitumia kupangisha wananchi wa kawaida...
Huyo ndio Kati ya vigogo aliyewafanya wananchi wa kawaida eneo lile kupata kiburi...
Pole rais mtarajiwa kwa dhahama ya nyumba yako kuharibiwa na mafuriko...
Anayetaka kuona nyumba ya Membe aende mtaa huo asipite ofisini anuse kupitia wananchi wa kawaida....nyumba hiyo ya Membe kuna kipindi ilivunjwa....mwaka juzi na manispaa ya ilala ...lakini Akaijenga tena...na inasadikika amejenga guest ....au pia anaweza kuitumia kupangisha wananchi wa kawaida...
Huyo ndio Kati ya vigogo aliyewafanya wananchi wa kawaida eneo lile kupata kiburi...
Pole rais mtarajiwa kwa dhahama ya nyumba yako kuharibiwa na mafuriko...