Maadui wa Israel popote hawana usalama

Maadui wa Israel popote hawana usalama

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
7,429
Reaction score
6,515
Maadui wa Israeli hawako salama popote.

Kiongozi wa Namba 1 wa Hamas, Sinwar, aliangamizwa Gaza 🇵🇸.

Kiongozi wa namba 2 wa Hamas, Haniyeh, aliangamizwa Iran 🇮🇷.

Kiongozi nambari 1 wa Hezbollah, Nasrallah, aliondolewa nchini Lebanon 🇨🇦. Israeli itaendelea kuwawinda magaidi popote walipo!!
IMG_2320.jpeg
 
Huo ukanda kuna siasa za kivita kuliko uhalisia unaonekana kwenye media, kila siku maadui wapya huzaliwa...
Kuzaliwa si tatizo bali kuuliwa ndiyo shida inapoanzia!!
 
Back
Top Bottom