Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,617
Nimesikitishwa sana na kitendo cha Mbunge anayejipambanua kama mcha Mungu, msomi na mwakilishi wa mama zetu Mkoa wa mbeya kwa tabia za udokozi na wizi. Mimi naamini maadii yamefutika kabisa ccm na kama hatachukuliwa hatua ikiwa ni pamoja na kumfukuza uanachama ccm itakuwa imejipaka uchafu miongoni mwa wanajamii