Rugaijamu
JF-Expert Member
- Jul 10, 2010
- 2,942
- 1,294
Wadau nimeisikia taarifa hii kupitia taaifa ya habari ya saa nne asubuhi, Radio Ulanga FM, kuwa tarehe 15/12/2012 yatafanyika maadhimisho ya bodaboda nchini, kitaifa yatafanyika mkoani Tanga na mgeni rasmi atakuwa waziri mkuu wa JMT.
Lengo ni kukumbuka wale wate walioathiriwa na usafiri huo nchini
Niwaulize ndugu zangu hivi kuandaa na kufanya maadhimisho ya namna hii ndio suluhu ya kupambana na ajali zinazotokana na bodaboda?
Lengo ni kukumbuka wale wate walioathiriwa na usafiri huo nchini
Niwaulize ndugu zangu hivi kuandaa na kufanya maadhimisho ya namna hii ndio suluhu ya kupambana na ajali zinazotokana na bodaboda?