KYANYINIMARAIGA
Senior Member
- Oct 21, 2016
- 193
- 126
- Thread starter
- #21
Ni sawa>Muungano wa Tanganyika na Zanzibar=TanzaniaLakini kwa ufahamu wangu Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Sasa utasemaje ilitwa Tanganyika haikubadilisha jina, muungano ndo ulitoa jina la Tanzania. Hebu tusaidiane kuwekana sawa hapo.