Maabara zinavyoeneza UKIMWI kwa makusudi

Maabara zinavyoeneza UKIMWI kwa makusudi

Stopper3

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2019
Posts
625
Reaction score
1,030
Habari za wikiendi,

Rejea kichwa cha habari hapo juu.

Kumekuwa na michezo michafu inaendelea maabara za afya huku mtaani katika suala la UKIMWI.

Ipo hivi, kuna kasumba ukipata mpenzi/ mchepuko/ kipozeo basi mnachukuana kwenda kupima afya kwanza ili mkienda kwenye 5*6, 6*6 mjiachie wenyewe bila kutumia kondomu.

Mnapofika Maabara kunakuwa na kamchezo wanacheza hawa wapimaji wasio waadilifu na mpenzi/mchepuko/kipozeo wako, hapa usipokua makini unaenda kuungwa gridi ya taifa.

Mpenzi/ mchepuko/ kipozeo wako anaweza kumuandikia ki memo mpimaji akaambatanisha na noti ya TSH 10,000 au 5,000. Kimemo kinaweza kusomeka hivi "Mimi najijua nimeathirika, hivyo tumia damu yake kutoa majibu yetu sote"

Hicho ki memo anakua amekiandika muda, akifika hapo anakua anamkanyaga mtoa huduma, hivyo mtoa huduma atajiongeza tu. Kimemo kitaachwa mezani wakati mnanyanyuka kusubiri majibu.

Wengine wanawahi kutangulia maabara "kumseti" mtoa huduma, anmtoa kidogo anatumia damu ya mtu mwingine, anaipima kabisa kisha kipimo kinahifadhiwa ndani.

Ukiachana na mchezo huo mchafu wa maabara kuna wadada wanatembea na vipimo ambacho kinasoma Negative kabisa, kumbe yeye ni Positive.

Nawasilisha.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upelelezi wa chini chini ndio utafaa kitarua na kuwakamata live hawa.. ila tabu ni kwamba pia watajuaje huko maabara hawajatumianhata ya mtu mwingine kabisa.. namaanisha kusimamia A to Z!!!
 
Mleta mada acha kuua watu...hayo umeyajuaje kama hujayatenda mwenyewe??😳


Everyday is Saturday...................😎
 
Habari za wikiendi.

Rejea kichwa cha habari hapo juu.

Kumekuwa na michezo michafu inaendelea maabara za afya huku mtaani katika suala la UKIMWI.

Ipo hivi, kuna kasumba ukipata mpenzi/mchepuko/kipozeo basi mnachukuana kwenda kupima afya kwanza ili mkienda kwenye 5*6, 6*6 mjiachie wenyewe bila kutumia kondomu.

Mnapofika Maabara kunakua na kamchezo wanacheza hawa wapimaji wasio waadilifu na mpenzi/mchepuko/kipozeo wako, hapa usipokua makini unaenda kuungwa gridi ya taifa.

Mpenzi/mchepuko/kipozeo wako anaweza kumuandikia ki memo mpimaji akaambatanisha na noti ya TSH 10,000 au 5,000. Kimemo kinaweza kusomeka hivi "Mimi najijua nimeathirika, hivyo tumia damu yake kutoa majibu yetu sote"

Hicho ki memo anakua amekiandika muda, akifika hapo anakua anamkanyaga mtoa huduma, hivyo mtoa huduma atajiongeza tu. Kimemo kitaachwa mezani wakati mnanyanyuka kusubiri majibu.

Wengine wanawahi kutangulia maabara "kumseti" mtoa huduma, anmtoa kidogo anatumia damu ya mtu mwingine, anaipima kabisa kisha kipimo kinahifadhiwa ndani.

Ukiachana na mchezo huo mchafu wa maabara kuna wadada wanatembea na vipimo ambacho kinasoma Negative kabisa, kumbe yeye ni Positive.

Nawasilisha.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ni sehemu gani wanapeleka damu maabara wakati hospital zote Siku izi wanatuma rapid test na unasudia damu inavyoflo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom