The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 4,345
- 6,589
neno kipoozeo limekaa ki.Smart sana kuliko mchepuko
Nchi ikishafika hapa, ina tatizo kubwa kuliko UKIMWI.Habari za wikiendi.
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kumekuwa na michezo michafu inaendelea maabara za afya huku mtaani katika suala la UKIMWI.
Ipo hivi, kuna kasumba ukipata mpenzi/mchepuko/kipozeo basi mnachukuana kwenda kupima afya kwanza ili mkienda kwenye 5*6, 6*6 mjiachie wenyewe bila kutumia kondomu.
Mnapofika Maabara kunakua na kamchezo wanacheza hawa wapimaji wasio waadilifu na mpenzi/mchepuko/kipozeo wako, hapa usipokua makini unaenda kuungwa gridi ya taifa.
Mpenzi/mchepuko/kipozeo wako anaweza kumuandikia ki memo mpimaji akaambatanisha na noti ya TSH 10,000 au 5,000. Kimemo kinaweza kusomeka hivi "Mimi najijua nimeathirika, hivyo tumia damu yake kutoa majibu yetu sote"
Hicho ki memo anakua amekiandika muda, akifika hapo anakua anamkanyaga mtoa huduma, hivyo mtoa huduma atajiongeza tu. Kimemo kitaachwa mezani wakati mnanyanyuka kusubiri majibu.
Wengine wanawahi kutangulia maabara "kumseti" mtoa huduma, anmtoa kidogo anatumia damu ya mtu mwingine, anaipima kabisa kisha kipimo kinahifadhiwa ndani.
Ukiachana na mchezo huo mchafu wa maabara kuna wadada wanatembea na vipimo ambacho kinasoma Negative kabisa, kumbe yeye ni Positive.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bei gani?Vipimio vimeruhusiwa vinauzwa pharmacy, na ni rahisi kutumia, mwenye mashaka na mpenzi wake wajipime live wenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Terrible...!Habari za wikiendi.
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kumekuwa na michezo michafu inaendelea maabara za afya huku mtaani katika suala la UKIMWI.
Ipo hivi, kuna kasumba ukipata mpenzi/mchepuko/kipozeo basi mnachukuana kwenda kupima afya kwanza ili mkienda kwenye 5*6, 6*6 mjiachie wenyewe bila kutumia kondomu.
Mnapofika Maabara kunakua na kamchezo wanacheza hawa wapimaji wasio waadilifu na mpenzi/mchepuko/kipozeo wako, hapa usipokua makini unaenda kuungwa gridi ya taifa.
Mpenzi/mchepuko/kipozeo wako anaweza kumuandikia ki memo mpimaji akaambatanisha na noti ya TSH 10,000 au 5,000. Kimemo kinaweza kusomeka hivi "Mimi najijua nimeathirika, hivyo tumia damu yake kutoa majibu yetu sote"
Hicho ki memo anakua amekiandika muda, akifika hapo anakua anamkanyaga mtoa huduma, hivyo mtoa huduma atajiongeza tu. Kimemo kitaachwa mezani wakati mnanyanyuka kusubiri majibu.
Wengine wanawahi kutangulia maabara "kumseti" mtoa huduma, anmtoa kidogo anatumia damu ya mtu mwingine, anaipima kabisa kisha kipimo kinahifadhiwa ndani.
Ukiachana na mchezo huo mchafu wa maabara kuna wadada wanatembea na vipimo ambacho kinasoma Negative kabisa, kumbe yeye ni Positive.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia condom mara zote, huyo sio mkeoHabari za wikiendi.
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kumekuwa na michezo michafu inaendelea maabara za afya huku mtaani katika suala la UKIMWI.
Ipo hivi, kuna kasumba ukipata mpenzi/mchepuko/kipozeo basi mnachukuana kwenda kupima afya kwanza ili mkienda kwenye 5*6, 6*6 mjiachie wenyewe bila kutumia kondomu.
Mnapofika Maabara kunakua na kamchezo wanacheza hawa wapimaji wasio waadilifu na mpenzi/mchepuko/kipozeo wako, hapa usipokua makini unaenda kuungwa gridi ya taifa.
Mpenzi/mchepuko/kipozeo wako anaweza kumuandikia ki memo mpimaji akaambatanisha na noti ya TSH 10,000 au 5,000. Kimemo kinaweza kusomeka hivi "Mimi najijua nimeathirika, hivyo tumia damu yake kutoa majibu yetu sote"
Hicho ki memo anakua amekiandika muda, akifika hapo anakua anamkanyaga mtoa huduma, hivyo mtoa huduma atajiongeza tu. Kimemo kitaachwa mezani wakati mnanyanyuka kusubiri majibu.
Wengine wanawahi kutangulia maabara "kumseti" mtoa huduma, anmtoa kidogo anatumia damu ya mtu mwingine, anaipima kabisa kisha kipimo kinahifadhiwa ndani.
Ukiachana na mchezo huo mchafu wa maabara kuna wadada wanatembea na vipimo ambacho kinasoma Negative kabisa, kumbe yeye ni Positive.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo yafanyike kwa ajili ya 5,000 au 10,000/? Sio kweli!
Inawezekana! Muogope sana mwafrika mkuu!Hayo yafanyike kwa ajili ya 5,000 au 10,000/? Sio kweli!
Utaokoka kwa kuikimbia zinaa na siyo vinginevyo!
Mjiandae kwa CoronaHabari za wikiendi.
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Kumekuwa na michezo michafu inaendelea maabara za afya huku mtaani katika suala la UKIMWI.
Ipo hivi, kuna kasumba ukipata mpenzi/mchepuko/kipozeo basi mnachukuana kwenda kupima afya kwanza ili mkienda kwenye 5*6, 6*6 mjiachie wenyewe bila kutumia kondomu.
Mnapofika Maabara kunakua na kamchezo wanacheza hawa wapimaji wasio waadilifu na mpenzi/mchepuko/kipozeo wako, hapa usipokua makini unaenda kuungwa gridi ya taifa.
Mpenzi/mchepuko/kipozeo wako anaweza kumuandikia ki memo mpimaji akaambatanisha na noti ya TSH 10,000 au 5,000. Kimemo kinaweza kusomeka hivi "Mimi najijua nimeathirika, hivyo tumia damu yake kutoa majibu yetu sote"
Hicho ki memo anakua amekiandika muda, akifika hapo anakua anamkanyaga mtoa huduma, hivyo mtoa huduma atajiongeza tu. Kimemo kitaachwa mezani wakati mnanyanyuka kusubiri majibu.
Wengine wanawahi kutangulia maabara "kumseti" mtoa huduma, anmtoa kidogo anatumia damu ya mtu mwingine, anaipima kabisa kisha kipimo kinahifadhiwa ndani.
Ukiachana na mchezo huo mchafu wa maabara kuna wadada wanatembea na vipimo ambacho kinasoma Negative kabisa, kumbe yeye ni Positive.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app