kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,734
Ndugu wanaJF
Kupitia Taarifa ya Habari ITV nimeweza kuona na kusikia Mkemia Mkuu wa Serikali akilalamika juu ya Taasisi hii kushindwa kufanya kazi yake kwa ufanisi na kushindwa kupima baadhi ya vipimo na kufanya baadhi ya kesi kutosikilizwa kwa wakati na imefahamika kuwa maabara inapokea vipomo zaidi ya 30,000 pia kwa zaidi maabara hii inajihusisha na uchunguzi wa madawa ya Kulevya, vipimo vya DNA pia uchunguzi wa jinsia pale mtoto anapozaliwa akiwa na jinsi mbili pia na vipimo vingine mbalimbali vinavyohusika na jinai.
- Kilichonishangaza ni kuwa hapo awali walikuwa wanapatiwa ruzuku ya Tsh. Billion 1.3 lakini wamepunguziwa hadi Tsh. Million 100,500,000/= na inatakiwa tujue serikali imetangaza utekelezaji wa BRN (Big Result Now) sasa kwa kufanya hivi tutafika tunakotaka kufika yaani unaipunguzia taasisi kutoka Million 1000 na 300 hadi Million 100.
Kupitia Taarifa ya Habari ITV nimeweza kuona na kusikia Mkemia Mkuu wa Serikali akilalamika juu ya Taasisi hii kushindwa kufanya kazi yake kwa ufanisi na kushindwa kupima baadhi ya vipimo na kufanya baadhi ya kesi kutosikilizwa kwa wakati na imefahamika kuwa maabara inapokea vipomo zaidi ya 30,000 pia kwa zaidi maabara hii inajihusisha na uchunguzi wa madawa ya Kulevya, vipimo vya DNA pia uchunguzi wa jinsia pale mtoto anapozaliwa akiwa na jinsi mbili pia na vipimo vingine mbalimbali vinavyohusika na jinai.
- Kilichonishangaza ni kuwa hapo awali walikuwa wanapatiwa ruzuku ya Tsh. Billion 1.3 lakini wamepunguziwa hadi Tsh. Million 100,500,000/= na inatakiwa tujue serikali imetangaza utekelezaji wa BRN (Big Result Now) sasa kwa kufanya hivi tutafika tunakotaka kufika yaani unaipunguzia taasisi kutoka Million 1000 na 300 hadi Million 100.