mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,837
- 8,221
Du nipo Arusha town viunga vya Makao Mapya hapa kuna bar maarufu sana inaitwa Picnic bar,asalalee hao wafanya kazi wake ni ma turbo ya nguvu sijawahi ona,na haya maturbo yapo mengi,yanaingia kwa zamu,najiuliza hivi yanalipwa kiasi gani yalivyo ni kama mafanya kazi kwenye benki yalivyojikarabati,du Arusha si mchezo,naona hii ni mitego waziwazi ngoja nijirudie zangu bongo.Kwa wale wenye aleji na mi turbo hapo ndipo kwake